HAKUNAMATATA
JF-Expert Member
- Jun 29, 2017
- 1,006
- 2,289
Nilipopata hiyo sms wala sikusumbuka.
Nili-edit sms ya M-pesa niliyokuwa nimetumiwa pesa, pale kweny kiasi nikaweka 1mil, then nika-edit muda....nikamtumia
Then nikamtumia sms nyngn nikamwambia Samahani Kwa Kukucheleweshea Pesa Yako.







" akapiga kimya...