He he he.. Umemuelewa vema.. Nimependa comment yakoTangazo lako limeshaonekana kwamba
1.UPO SINGLE
2.HAUCHEPUKI
3.UNAHAMU YA KUINGIA TENA KWENYE MAHUSIANO ILA HAUJAPATA MPENZI
4.HAUJATUMIKA SANA COZ ULIKUWA NA MPENZI MMOJA TU.
Haya sasa, mabazazi wa JF kazi kwenu
Ulisikia wapi jf kukawa na wachumba... Jiongeze.. Mtaani wameisha???Na hiko ndicho unachokimaanisha kwasasa,
anyway subiri wanakuja pm, na ukimpata ulete mrejesho
Hajanielewa. Ila kakurupuka tu Kama wewe ulivyokurupukaHe he he.. Umemuelewa vema.. Nimependa comment yako
hamna mkate mgumu mbele ya chai mamaUmemsumbua tu kumtag. Maana hapa hata hamna fursa
You are welcome..!!He he he.. Umemuelewa vema.. Nimependa comment yako
Watu walokuwa JF wanatoka sayari gani, na wamtaani wanatoka sayari gani??Ulisikia wapi jf kukawa na wachumba... Jiongeze.. Mtaani wameisha???
Wamtaani tunaonana Mubashara. Wa jf. Tunajuana kutokana na mijadala ya hapa na paleWatu walokuwa JF wanatoka sayari gani, na wamtaani wanatoka sayari gani??
Manake mi najua ndo sisi sisi
aiseeLabda kama full tank yako inatoka ubungo unaishia mbez ila kama safar ndefu ahaa kuingia petrol station muhimu
Unaweza usiwe mgumu ila ukawa. Umeharibikahamna mkate mgumu mbele ya chai mama
Valentine inakuja, Endelea mama kuwasaka, unaweza kubahatishaWamtaani tunaonana Mubashara. Wa jf. Tunajuana kutokana na mijadala ya hapa na pale
Sina hata huo mda.. Kwa Uliambiwa Valentine ni lazima Kuwa na bwanaValentine inakuja, Endelea mama kuwasaka, unaweza kubahatisha
Mbona umekua mkali hivyo kusikia habari ya kutongozwa???Bila shaka wewe ni mwanaume unaetumia ID ya kikeMimi mwenyewe naweza kukutongoza. Huko mtaani kwenu hamna wa kuwatongoza...
You never knowMbona umekua mkali hivyo kusikia habari ya kutongozwa???Bila shaka wewe ni mwanaume unaetumia ID ya kike
Hilo ni dume linatumia ID ya kike mkuuValentine inakuja, Endelea mama kuwasaka, unaweza kubahatisha
palipoharibika panatolewa pazima panaliwa mamaUnaweza usiwe mgumu ila ukawa. Umeharibika
Hongera. Ndo inavyotakiwa[/QUOT