Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,032
- 759
- Thread starter
- #21
Ushauri wangu mimi kwanza uhame maeneo hayo unayoishi.....
Ili uwe clear kujua ni ushirikina au hisia zako...
Halafu anza sala....
kaka nihame na nimejenga kajumba kangu? Mi naishi Kunduchi Mtongani kwa wale wanaopafahamu