Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kamanda hiyo shughuli pevu ila naona ile idara hajajaaliwa sana!
Mwana kajaaliwa anapo cheza kitu kinapumua tu piuuuuu fyuuuuu we acha huyu amewahi mtoa mate Msanii.
Kamanda hiyo shughuli pevu ila naona ile idara hajajaaliwa sana!
Ukifanikiwa kuona minyumbuliko ya kisanga cha pwani chao walah unamsahau aisha madinda sawia.