Iteitei hiyo avatar yako noma kweli.
Ah we acha tu.Huyu Iteitei asaidiwe condom ya mdomo. Ni mzee wa malovee, malavidavi.! Angalia yatakupindua!
Sa na wewe Msanii tena huko Zenji da!
Ah we acha tu.
Unajua maumivu ya kiuno yanaweza kukusafirisha mbali sana.... Muulize BRAZAMENI.
Inauma kweli kuukosa URAHA ule walah maana wanavyobubujika jukwaani ni maumivu tupu kwenye shina la shinikizo
hahahaha huyo sio mama nzawisa?
Anazungusha kiuno huyo kha! mzee Masanilo unaweza ukakubwa na mfadhaiko mkuu.
Mkuu hiyo ni sawa na kuniambia vaa mabomu kisha pita kariakoo.Msanii,
Sasa fanya hivi, Siku nyingine nenda na `mywife` wako Msondo, halafu umruhusu acheze kama hao wa Zenji, nakwambia kama haupo kwenye Nyota ya Kijani utazaa NJE YA UTARARIBU. Maana wewe unaonekana unapenda kishenzi wa dizaini hiyo!
.................................. walioonja msamba huo
Kamanda hiyo shughuli pevu ila naona ile idara hajajaaliwa sana!
Ehee Idara gani tena hiyo?
Hiyo ndiyo Msondo yenyewe, hapo kimepungua kimoja tu, Romario alitakiwa kuwa na chupa ya bia mkononi (recomended Safari lakini kwa sababu kuna promo ya kili, basi angalau hiyo alitakiwa kuwa nayo)Ndo mnaita nini hizo staili?
angetumia chupa ya bia angemuumiza binti wa watu shekheHiyo ndiyo Msondo yenyewe, hapo kimepungua kimoja tu, Romario alitakiwa kuwa na chupa ya bia mkononi (recomended Safari lakini kwa sababu kuna promo ya kili, basi angalau hiyo alitakiwa kuwa nayo)
mkuuEhee Idara gani tena hiyo?
Yaani angeishika tu mkononi, si kuitumia... asingeweza kuitumia hadharani kama hapoangetumia chupa ya bia angemuumiza binti wa watu shekhe
heheheYaani angeishika tu mkononi, si kuitumia... asingeweza kuitumia hadharani kama hapo