Wanenguaji wa 'Kanga Moko' wapigwa Risasi

Wanenguaji wa 'Kanga Moko' wapigwa Risasi

kambitza

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2013
Posts
2,045
Reaction score
1,325
Inasemekana kuwa wale wana Dada wa kundi la Kanga Moko wamepigwa Risasi muda huu.... Walipokuwa wakicheza matarumbeta kwenye harusi. Mmoja kapigwa Risasi ya makalio, Mwingine ya paja. Wamekimbizwa hospital ya mwananyamala kupata matibabu.
=============================================================


Kanga-404x326.jpg

WATU wawili wakazi wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam, wamejeruhiwa katika tukio lililohusisha risasi za moto linalodaiwa kufanywa na Askari Polisi baada ya kukutwa wakikesha kwenye ngoma za wanenguaji maarufu 'Kanga moko', ambazo tayari zimepigwa marufuku na Jeshi la Polisi nchini. Aidha, taarifa zimesema kuwa tukio hilo lilitokea jana Juni 18, 2014 saa kumi na nusu jioni katika eneo la Shule ya Msingi Kisiwani ambapo FikraPevu imejulishwa...

See more at: Fikra Pevu | Kisima cha busara!
 
Hawa stripers wabongo.. namuonea huruma huyo aliyepigwa risasi ya makalio duuh
 
Tukio limetokea na wapo mwananyamala Hospital muda huu.

Watu wanafatilia nimeona pia kuna mtangazaji ameshapost.

attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • 1403116065368.jpg
    1403116065368.jpg
    61.2 KB · Views: 6,995
Back
Top Bottom