kambitza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 2,045
- 1,325
Inasemekana kuwa wale wana Dada wa kundi la Kanga Moko wamepigwa Risasi muda huu.... Walipokuwa wakicheza matarumbeta kwenye harusi. Mmoja kapigwa Risasi ya makalio, Mwingine ya paja. Wamekimbizwa hospital ya mwananyamala kupata matibabu.
=============================================================
=============================================================
![]()
WATU wawili wakazi wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam, wamejeruhiwa katika tukio lililohusisha risasi za moto linalodaiwa kufanywa na Askari Polisi baada ya kukutwa wakikesha kwenye ngoma za wanenguaji maarufu 'Kanga moko', ambazo tayari zimepigwa marufuku na Jeshi la Polisi nchini. Aidha, taarifa zimesema kuwa tukio hilo lilitokea jana Juni 18, 2014 saa kumi na nusu jioni katika eneo la Shule ya Msingi Kisiwani ambapo FikraPevu imejulishwa...
See more at: Fikra Pevu | Kisima cha busara!