Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
natafuta uzi wa kwenda kuchakachua mida hii.sijaona bado
natafuta uzi wa kwenda kuchakachua mida hii.sijaona bado
Hebu lala ukue bwana
Wewe unalala sa ngapi ?
Silali hadi ulale...
Silali hadi ulale...
Silali hadi ulale...
kwani ndo kakushikia usingizi??
Acha kujishombondoa bana?
Ndio nimeingia sasa Saint Ivuga. Unasemaje?Na mimi ndio silali hadi Mwali aje hapa.
Ndio nimeingia sasa Saint Ivuga. Unasemaje?
Uko tayari kuleta mahari home? au maslahi tu?
natafuta uzi wa kwenda kuchakachua mida hii.sijaona bado
Saint Ivuga,Nimeona hii...:frusty:Acha kupeperusha ndege