ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,414
- 5,288
Uislam una mafundisho mazuri mno na yapo reasonable kabisa na huwa nayapenda
Kwa mfano mambo ya ndoa, heshima, mavazi ya stara, mambo ya mazishi(kutolaza mwili siku nyingi bila kuzika), vyakula na namna nzuri yakula, na matendo mengine ya huruma kama swadaka mfungo wa mwezi Ramadan na maana zake nzuri
Kwa kifupi uislam mambo mazuri ulionao uislam, ukijikita kutoa elimu na kushawishi kwa upole na upendo na logic mngepata waumini wengi mno duniani
Sasa ndugu zangu kwanini mtumie ubabe ushamba na uhuni kuforce watu kufanya mambo yenu ambapo bila hizo nguvu mnaweza kutoa elimu na kuwanasa
Zanzibar mnachapa watu na kuwalazimisha kufunga mwezi Ramadhan, fikiria huyo mtu mzima anayepigwa ana mke, watoto au ndugu wengine wewe unadhan hao ndugu zao ipo siku wataufuhia uislam uliodhalilisha utu wa aidha baba, mama, dada yao
Kufunga ni ibada yako na ukifanya ibada hupaswi kumlazishwa kwa viboko mtu mwingine kufanya ibada labda kumshawishi kwa hiari yake afanye hiyo ibada
Wanazuoni mkieneza elimu mtausafisha uislam na kuwa dini nzuri bila ugaidi, udhalilisha, unyanyasaji, uhuni kama ilivo sasa
Uislam usiwe sehemu ya unyanyasaji, uhuni na udhalimu kama mlivofanya huko Zanzibar
Ramadhan kareem
Waiban tawfiq
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mfano mambo ya ndoa, heshima, mavazi ya stara, mambo ya mazishi(kutolaza mwili siku nyingi bila kuzika), vyakula na namna nzuri yakula, na matendo mengine ya huruma kama swadaka mfungo wa mwezi Ramadan na maana zake nzuri
Kwa kifupi uislam mambo mazuri ulionao uislam, ukijikita kutoa elimu na kushawishi kwa upole na upendo na logic mngepata waumini wengi mno duniani
Sasa ndugu zangu kwanini mtumie ubabe ushamba na uhuni kuforce watu kufanya mambo yenu ambapo bila hizo nguvu mnaweza kutoa elimu na kuwanasa
Zanzibar mnachapa watu na kuwalazimisha kufunga mwezi Ramadhan, fikiria huyo mtu mzima anayepigwa ana mke, watoto au ndugu wengine wewe unadhan hao ndugu zao ipo siku wataufuhia uislam uliodhalilisha utu wa aidha baba, mama, dada yao
Kufunga ni ibada yako na ukifanya ibada hupaswi kumlazishwa kwa viboko mtu mwingine kufanya ibada labda kumshawishi kwa hiari yake afanye hiyo ibada
Wanazuoni mkieneza elimu mtausafisha uislam na kuwa dini nzuri bila ugaidi, udhalilisha, unyanyasaji, uhuni kama ilivo sasa
Uislam usiwe sehemu ya unyanyasaji, uhuni na udhalimu kama mlivofanya huko Zanzibar
Ramadhan kareem
Waiban tawfiq
Sent using Jamii Forums mobile app