Iamwhoiamm
JF-Expert Member
- Oct 18, 2022
- 503
- 890
Kumbe bac ndo maana nawaelewaga sana watoto weusi lkn chocorateGuys habari
Acha niwaibie siri hawa wanawake weusi so sweeto yaani wana ladha ya kipekeee achana na hawa wanao jichubua hadi mapaja.
Mwanamke mweusi ana joto af sasa ni watundu sana mpaka unajiuliza mbona kama nimechelewa kuwajua.
Lips zao huwa laini za kuteleza na kuvutia cheusi ulipo kunywa soda boss nipo hapa [emoji39]
Dah!😂😂😂Naunga Mkono hoja.
View attachment 2480147
Hatunaga mpinzani kubwa kuliko yote na wanaume wa wazungu hawanaga usemi juu yaa hii ngozi.
Mkalale sasa jamani.
Wanawake wengi wanapenda kupaka mikorogo Sasa ukijichubua UKAWA na rangi mbili nani atakupenda wanawake WAACHE mikorogo unakuta uso baada ya kuwa mweupe unapungua kwenye weupe na kuwa mwekundu sio Kila mtu ANAPENDA anapenda mwanamke mweupe na sio Kila mtu ANAPENda mwanamke mweusi it's just a destiny just be you vidole vikichanganyika tu ni shida
Black is beautiful
Nilijua ipo siku zamu yetu itafika[emoji28][emoji28]
Naunga mkono hoja amir jeshi mkuu [emoji41]
Na we ni keusi ka nlack beauty.Wacha weeh wacha weeeh.
Mbona kama unajuta mkuu.Naunga Mkono hoja.
View attachment 2480147
Ase I'm crazy of black woman
Nikiona mwanamke mrefu mweusi msafi huwa nachanganyikiwa
Hahahaha!, Mkuu nadhani ulipaswa kuweka wazi kwamba picha hii hana mahusiano na mada tajwa.Naunga Mkono hoja.
View attachment 2480147
Mkifikia kwenye wale wanawake sio weusi Wala sio weupe..mnistue.
Narudi kulala
Ongeeni yote ila mwaNamke mwembamba mwenye kamwili kidogo hunichomoi