to yeye hapo ndio wengi mnapokosea!
Ki ukweli muda wote mnapaswa ku-communicate, otherwise mtakuwa mnajenga mnara wa babeli!
I had such experience with my partner, yeye anadhani kuwa mimi napaswa kujua anavyofeel, lkn kinyume chake mimi na most men wana-assume kuwa kusuguana ndio kila kitu, tena most men believes ukisugua kwa nguvu haraka na muda mrefu huku mwanamke akilia ndio anaenda vema!
Nilikuja kujifunza tofauti, kuwa often wanawake (at least huyo wangu) huwa wanapenda foreplay ndefu, sex ya taratibu, huku ukistimulate maeneo mengine hasa nipples na msuguano wa polepole ktk clitoris!
ule ujanadume wa kumkunja mtu na miguvu kumbe ni kero tu!
kama asingesema mimi nilikuwa naendelea na male version ya game ambapo makelele (ya kuumia Zaidi ya raha), kukunjana viungo kiajabu etc!
Lazima nikiri kuwa si kila wakati nafanikiwa kumfanya apizi (at least kwa anavyo-communicate) huwa tuna communicate kuwa hajafika, na kuna saa I cant go for the next round, huwa pia nawasilisha hilo! kama yeye kuna time anasema kuwa hajisikii na she will go mpaka pale nikifika then tutastop, so hii inakuwa game yangu, she does kila kitu kuhakikisha kuwa nafika, though mara nyingine mkiwa mzigoni inatoka amri kuwa usipiz kwanza ngoja twende wote!
Anyway: inauma kwa mwanaume kupata feedback kuwa mwenzio hajafika, maana huo ndio ujanadume wenyewe kumfikisha kila una do naye saa zote! which is a myth kwa wengi, ni ujinga na kujiumiza unapokataa feedback ya ukweli kuhusu performance yako!
Jikubali na usichukie, kama humfikishi mtu then uliza ufanye nini ili afike!
Kiti kilichonipa ujasiri wa kutaka feedback ni baada ya kujifunza kuwa lesbians wanaenjoy kuliko heterosexual, simply hii inakuambia tu kuwa wanawake wanacommunicate (sio kwa kuongea) bali yule partner (anaye act as a male) anajua exactly nini mwingine anahitaji. huyu hana penis na si lazima awe na dildo, so kitu kikuu hapa ni mawasiliano tu!
Jamani wanaume tuwaulize wenza wetu.
yes wapo wanaume wenye advantage ya kujua game, wana good penis na bado wako strong muda wote, wao wanafanya basics na wanawake wanaridhika. lakini si wote wenye Baraka hizo!
tupo vipofu wa game tunapaswa kushikwa mkono na wenza wetu! ukifundishwa nini cha kufanya twice, thrice utajua tu next time angalau wapi kwa kuanzia!