Hapa kuna udhaifu pande zote,kwa upande wa wanaume,wengi hawajui hata mwanamke kukojoa kuna maanisha nini,pili ubinafsi,hasakwa wale waliobahatika kujua nini maana ya kumfanya mwanamke akojoe,wanajiangalia wao tuu,
Ukija kwa wanawake,walio wengi wamekalili,wanafikiri mapenzi ni kitu kipo tuu ukienda sehem unakipata,mapenzi yanatengenezwa,wasiliana na mpenziwako vizur,mwambie nini unataka toka kwake,mfanye rafiki yako,kua huru na yeye,ila ni ngumu kufanya hvo kama ww ni mwingi wahabari,alafu acheni kujiingiza hayoma dildo yanawaua hisia,pia yanafanya K iwe sugu na hisia zako zinakua ngumu kupatikana,
Ila na sisi wanaume tulio wengi tunatia haibu,yaani unamkuta mdada ana miaka 40 anakwambia hajawahi na hajui kukojoa maana yake nini,yaani ukipiga hesabu amedate na wanaume zaidi ya kumi,hao wote hata mmoja hajawahi kumfanya a pee,
Mpaka sasa 75% ya wanawake,hawajawahi kukojoa au kuridhishwa kimapenzi