Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,154
- 16,237
Ugomvi wangu mkubwa na mume wangu ni Ku do! huwa sipendelei sana , na hata hapa kazini sikupandishwa cheo kwa miaka 5 kwa sababu nilimyima boss K.
kuna wanaume hudhani asipompa vizuri hilo tendo mke wake anaweza kutoka nje hivyo jitihada inakuwa kubwa, mweleze ni kwa namna gani unapenda iwe na atakuelewa tu.