Haha hahaaaaaaa hamna kitu kama hcho bhanaKuna wanawake wana ndevu hadi zinaogopesha
Huo ndo ubinafs ambao naupinga kila siku. Y umletee ya tofauti na yako? nafikiri ungeleta type moja ila rangi tofauti bhana.Ha...yake haishave vizuri kwa kipilipili type km Rozay.
Nature ya ndevu zangu ni chronic zaidi ya stealwire tofauti na zake si unazicheki lkn Mkuu akitumia km hii itamkwangua koromeo.Huo ndo ubinafs ambao naupinga kila siku. Y umletee ya tofauti na yako? nafikiri ungeleta type moja ila rangi tofauti bhana.
Nature ya ndevu zangu ni chronic zaidi ya stealwire tofauti na zake si unazicheki lkn Mkuu akitumia km hii itamkwangua koromeo.
nadhani upo sahihi mkubwa, nina dada yangu ambaye ana akili sana ya maisha, in fact familia bila yeye ni kama haipoAs far as ana REPRODUCTIVE STRUCTURES za kike, anafaa kuoa kabisa, kwakuwa hata hizo ndevu zao haziwagi kaa vichaka kama kwa wanaume.
Vuta mzigo huo ndugu.. Maana nasikiaga ati wanakuwaga na akili za maisha sanaaa !
Ha ha haaaa.mlakini wana sifa ya umwamba fulani hvWana bahat ya Pesa balaa chukua huyo faster kama vp nipe namba yake
Tena nilisikia humuhumu JF kwenye thread fulani hivi, ngoja niitafute.......S
nadhani upo sahihi mkubwa, nina dada yangu ambaye ana akili sana ya maisha, in fact familia bila yeye ni kama haipo
nakubali kabisa, namjua mmoja ambaye kwa kweli maisha yake ni mazuri nikimaanisha kipato anacho ila ana misimamo balaaa.Ha ha haaaa.mlakini wana sifa ya umwamba fulani hv