Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 372,652
- 863,511
Aaaagh!!! Hazifunguki
Tena naskia wanautaalam wakumpa mtu ugonjwa wa presha ya kupanda au kushuka
Ni kwel nani aoe chanzo cha kifo...yule jamaa alisema ukimuona mwanamke mwenye umbo tata sana ujue ndio silaha yake
Ww unaweka ndani mwanamke mkitofautiana anakuambia "hivi kwa shape hii ukiniacha utafikir nakosa mtu"...nani anataka pressure....maumbo hayo ni michepuko tu inafaa kuwaUoga wenu tu
Kipengele namba 3 ndoa zao hua na mashaka na wasiwasi mwingi yaani muoaji wa hii kitu hua anakua hana amani kila anapopata safari au kutokaTena naskia wanautaalam wakumpa mtu ugonjwa wa presha ya kupanda au kushuka
Hahahaaa mkuu utataabika nae sana yaani anakugeuza mtumwa bila kupendaNi kwel nani aoe chanzo cha kifo...yule jamaa alisema ukimuona mwanamke mwenye umbo tata sana ujue ndio silaha yake
Mkuu we oa tu ila ujiandae kukonda au kua mtumwa waUoga wenu tu
Hiyo hapo.weka picha
Huu ni utafiti wangu mdogo tumleta mada si ungesema tu kwa maoni/mtizamo wako(for your opinion) ndo unaona hivyo.
Mkuu we oa tu ila ujiandae kukonda au kua mtumwa wa
...... .
Wewe vipi bibie kwa upande wako..?Uoga wenu tu
Huyu 'Valentina' ni muolewaji na si muoaji...if you won't mind my correctionMkuu we oa tu ila ujiandae kukonda au kua mtumwa wa
...... .
Wonderful G Hicho kipicha Peleka jukwaaLWHiyo hapo.
Wewe vipi bibie kwa upande wako..?
Huyu @"Valentina" ni muolewaji na si muoaji...if you won't mind my correction
Uoga wenu tu
Kwani mimi nina roho mbaya.?i!?Ha haaa usingemstua bana. Nilitaka aingie chaka mzima mzima