Wanawake wenye Hips wanatesa kwa mengi

Wanawake wenye Hips wanatesa kwa mengi

Mwambie mwamvie tu naona anatoa maneno yasiyokuwa na mashiko

ndio maana hata kwenye mada yako siku za nyuma Miss chagga nilikueleza kuwa love has no specific formula, ndio aya ya mgt software, hajui kuwa tupo tunaopenda mamiss, wengine wadada wenye matege, wakati wengine wanapenda madunga-embe, hapana tunatofautiana, mm penda sana portables kama miss chagaa...
 
ndio maana hata kwenye mada yako siku za nyuma Miss chagga nilikueleza kuwa love has no specific formula, ndio aya ya mgt software, hajui kuwa tupo tunaopenda mamiss, wengine wadada wenye matege, wakati wengine wanapenda madunga-embe, hapana tunatofautiana, mm penda sana portables kama miss chagaa...

Na mimi penda pesa yako
 
923180_466336130110027_1007791174_n.jpg

mashalaaahh
 
Wana Jamiiforums

Wanawake wengi wenye hips , ni wanawake ambao si kwa mwanaume tu hata kwa wanawake wenzie husifia kuwa fulani kajaliwa, ki maumbile, ni kweli wana mvuto wa pekee, humwagiwa sifa nyingi za urembo, lakini pia kwa upande mwingine wa shillingi ni matatizo tupu.

Sifa:
1. Huwatesa sana wakina baba wanapokuwa katika vyombo vya usafiri kama daladala, treni, meli na ngalawa, mababa wengi hujawa na hisia kali za mahaba kiasi kwamba hupata mfadhaiko.

2. Hawana haraka sana kwani mwendo wao, hutembea kwa maringo, hata daladala likisimamia mbali hawawezi kukimbia kuwahi.

3. Hutongozwa wanaume watano kwa siku, hata wanaume wasiposema kitu angalau ukonyeza.

4. Ni wasikivu sana wakati wa kudate maana wengi ni warefu hupenda sana kukuinamia kusikia zaidi uliongealo.

Matatizo.

1. Kwa kuwa huwa wanavutia sana ni rahisi kurubuniwa kwani mwanamke yeyote duniani hawezi kutongozwa watu elfu 2000 asimpende mmojawapo.

2. Hawana raha kwani ukodolewa sana macho na watu, si wanawake wala wanaume.

3. Upata magonjwa sana asa fungus kwani sehemu zao za siri hazipati hewa ya kutosha kufatana na kubanana kwa nyama na msuguano kila watembeapo.

4. Wana gharama sana kuwatunza kwa sababu hawatakiwi kutembea kwa muda mrefu kuogopa msuguana hivyo umuoapo ni lazima ughalimike usafiri au unatakiwa kumunulia skin taiti kila mara kwa kuwa zinahariibika muda mfupi sehemu ya mapaja.

Mmmmh kweli kabisaa
 
Na mimi penda pesa yako

pesa iko mingi sana ...iko penda pesa ngapi , iko kuja uku fanya barter trade toa pata hela!! .... ww mwanamke pesa ipi, hii iliyoandikwa 'pesa halali kwa malipo ya shillingi...' unaniuzia nini??
 
pesa iko mingi sana ...iko penda pesa ngapi , iko kuja uku fanya barter trade toa pata hela!! .... ww mwanamke pesa ipi, hii iliyoandikwa 'pesa halali kwa malipo ya shillingi...' unaniuzia nini??

napenda ile ya obama tu
 
ndio maana hata kwenye mada yako siku za nyuma Miss chagga nilikueleza kuwa love has no specific formula, ndio aya ya mgt software, hajui kuwa tupo tunaopenda mamiss, wengine wadada wenye matege, wakati wengine wanapenda madunga-embe, hapana tunatofautiana, mm penda sana portables kama miss chagaa...

Wewe unatudanganya tu, labda kama umeacha kuwapenda siku hizi, mwanaume akibarehe huwa anajiamini ana nguvu za kiume kuliko mtu yeyeto hivyo hamu yake kukamata, mimama yenye nguvu ndio kiu yake inaisha, vimbau mbau huisi havitamaliza hamu.
 
Back
Top Bottom