Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,367
kifuani atakua hatofautiani sana na mm! sema kanizidi kidigo tu kw ukubwa ..........
na ww kifuan pako vp? Isije kuwa yanasimama wakat wa kupiga dek tu
kifuani atakua hatofautiani sana na mm! sema kanizidi kidigo tu kw ukubwa ..........
Naunga mkono hoja, kule chini kwa wazinzi ndio pahala pake
ndo wapi huko mkuu?? napaafuta nikawaombee
Amin, nasubiri kabanga akirudi tunaenda sisi
ndo wapi huko mkuu?? napaafuta nikawaombee
nilikua sijui
naomba uwe mkalimani wangu kwa muda
Hahhaha mi mwenyew nimeangalia picha tu, mengine nimeyaacha kama yalivyo...
Amin, nasubiri kabanga akirudi tunaenda sisi
mmmmmmhhh
Uoooongoo! mi nina above 40 na sina hayo mahusiano ya kiivo. Mahusiano hayo ni tabia ya mtu tuu na wasituchafue na wengine. Haaariika!