Wanawake wengine .......

mm simjui hata mmoja. Ehee hebu niambie ulipogundua anamchombeza faza hausi ulimfanyaje huyo kiruka road

Wala hata sikushtukaaa nilibyedaa nikaona ni vidampa tu maana sitishikiiii wakati nazaliwaa nilianzishiwaa kuogeshewaa maji yaliyochanganywaa na asalii sina shidaa
 
Wala hata sikushtukaaa nilibyedaa nikaona ni vidampa tu maana sitishikiiii wakati nazaliwaa nilianzishiwaa kuogeshewaa maji yaliyochanganywaa na asalii sina shidaa

Unamaanisha we mtamu?
ngoja nikukuwadie afu nisubiri mrejesho....
 
Kumbe ishakuwa next level nkajua ni namba za simu tu
dadeki mwanaume yeyote atakaenipm nammiminia mapicha yangu

ila tucheke wote mie baada picha kutumwa pm zilizofuta ni mbona kimya?!!! jaman wanawake tujitambue tunajichoresha tuuu!!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…