Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 2,074
- 4,210
Waaaa
Taratibu mzee yamekukuta wapi? Shusha pumzi ueleze vizr.Unajijua ww ni m/mke na umeolewa au upo kwenye relationship alafu unajiunga kwenye dating&flirting apps then utaki kutongozwa wala kuonjwa utamu huoo..Sasa kilichokuleta kule ni kitu gani km vipi baki ulipo na utakatifu wako huku nje ila mule ujiandae kusumbuliwa na kuombwa mzigo kama umeamua binafsi kujiunga na wala haujalazimishwa na mtu yoyote yule.
HAPPY NEW YEAR
wewe dada Dah!Mwambie huyo dogo
Dada Dilek wewe haupo huko tuwasiliane?Pole sana
Sawa, basi tuwasilianeSipo kaka