Wanawake wengine ni mumiani

Wanawake wengine ni mumiani

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
Kuna wanawake ambao ukitembea nao tu ujue ajira yako imefika ukingoni.Wapo wengine ukiwadinya tu kaa ukijua utapata hasara kubwa Kwenye biashara yako na ukijidai unang'ang'ana naye kaa ukijua ndio unakuwa fukara namba moja.

Wengine ndio ukimnjunji tu lazima ufe kifo cha ghafla. Kama si mtikisiko wa ubongo, basi utakufa kwa mshtuko wa moyo baada ya bank kutangaza kuuza hadi pants zako. Kama si mshtuko wa moyo basi utakufa ukiwa bar unakata ulabu.

Be careful kabla hujachepuka
 
​mnh lakini mkuu ukikutana na mtoto wa kibantu hatari sana sheikh, mnhhhhh....hatari sana in Sheikh Hila Kipozeo voice
 
Lulu jamani Ana nini? Kila bwanake anakufa kifo cha ghafla

Acha kuamini maneno ya kwenye kanga mkuu, mi nipo na lulu mwaka wa nne hata sikohoi. Nala kwa raha zangu, ila sishangai maana wanaume sisi ukinyinywa na duu unaanza kumponda ili kuridhisha nafsi.
 
Umenena ukweli usiopingika, ukiwa njia kuu unakuwa na utukufu wa mungu kwa ajili ya mkeo na familia yako ila shetani atakutafutia kila mbinu ili kukuyumbisha na akishafanikiwa anakuacha katika hali ambayo hutouona tena ule utukufu na akiamua anakuua kabisa ili umtangulie huko jehanamu. Tuwe makini wanaume wenzangu maana ndoa ni utukufu machoni pa mungu ila mchepuko ni laana inayoutafuna utukufu wa ndoa.
 
Halafu kuna mademu wengine ukiwagonga tu wanatafuta namba ya mkeo hadi aipate. Akiipata atahakikisha anakunyoa magugumaji kisha anampigia mkeo na kumwambia..... kinyago wako huyo anakuja na kipara ngoto chake.... nimesha mfyeka msitu wake.... mwanamke wa hovyo wewe.... nimekutana na mijoka ya hatari Kwenye msitu wa mumeo
 
Acha kuamini maneno ya kwenye kanga mkuu, mi nipo na lulu mwaka wa nne hata sikohoi. Nala kwa rahaaaaaa zangu, ila sishangai maana wanaume sisi ukinyinywa na duu unaanza kumponda ili kuridhisha nafsi.
a cha kujifagilia. Mi simyongelei Lulu wa hapo Kwenye kilabu cha wanzuki unayeyembea naye
 
Wewe Mkuu unaona mbali. Hi I habari sio ngeni. Nimeshapata huh ujumbe Mara kadhaa.

Kwa mujibu wa mzee wangu wa heshma kabsa. Alitupa nasaha kwamba tungepaswa kupima hiki kipimo kabla ya kuamua kuoa.

Kabla hujaingia katika mahusiano unaweza anza na kutafuta haya

mwanamke mwenye nuksi. Ukiwa na nae ukagegeda Pima katika siku,Wiki, mwezi au mwaka. Utajua aina na mwanamke ulienae.

wengine ni nuksi mtindo mmoja. pesa hakuna. Unajikuta hata kula huioni.

Nshakuwa na mwanamke hela zangu kwishnei. nilivyomtema mambo yangu saafi.

Aione mumiani lara1
 
Naweza kumtambuaje kabla ya kuchepuka nae?!
 
acheni kujifagilia bhana mbn hata wanaume pia ipo hvo wengine majang sema wengine tunakua nao bc tu tatizo nyota!
 
Namfahamu mmoja amefilisika hadi ameuza shell kisa mwanamke mweupe;

Ila na nyie wanaume mmezidi sana, mke unaye tena mzuri tu, lakini hamuishi kutamani.
Bujibuji njoo nikupeleke mahali ukasafishe nyota.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom