Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,548
- 172,072
Si nyie wanawake mubaki na watoto kama mnavyoliliaSasa mnamuachia nani hayo mateso!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si nyie wanawake mubaki na watoto kama mnavyoliliaSasa mnamuachia nani hayo mateso!!
Si nyie wanawake mubaki na watoto kama mnavyolilia
sijui kwa nini wanawazaga hivyo, haya maneno yapo sana kwa wanawake kwa kweliUtasikia ukifa mi na watoto tunaenda wapi
Wanasahau kuwa kifo ni kwa yeyote
Msijali, tutatangulia mbakie na watoto mpambane nao.Si nyie wanawake mubaki na watoto kama mnavyolilia
Sijui kujisahau au imani kuwa wanaume wanawahi kufasijui kwa nini wanawazaga hivyo, haya maneno yapo sana kwa wanawake kwa kweli
nahisi ni kujisahau tu
Heri yakoNdio maana nasema sitooa ila nitakuwa nawazalisha nje tuuuuu nachukia wanangu
Hamna, akili kichwani mzee!Kwahiyo unasemeje mkuu, tuendelee kuwaua au?
SI KWELI.Mwanaume mpumbavu hujisababishia kifo chake mwenyewe, kuna maujinga mengi mnayoyafanya ambayo huwasogeza karibu sana na kifo. Hivyo huwa ni obvious tu.
Ila pia hiyo kauli huwa ni just in case, baada ya kuona uelekeo wako ni wa kukisaka kifo zaidi
Kwa nini usife wewe na ukaniacha mimi na mali? Na ndio maana mnakufa masikini nyie wanawake wa kiafrika, na mtasugua gaga mno.Sasa kwanini mjicheleweshe!
Usiulize kwa nini kaka, unapoteza muda, akili kichwani mwako.Sijui Kwa Nini wanaume hua ndiyo tunaokufa mapema...
Familia nyingi sana baba ashaondoka..
Nikisikia kauli hizi naweza hata kumng'oa jino.
Kujisahau tu, utasikia sasa ukiuza hii nyumba ukifa nitakaa wapi na watoto?Sijui kujisahau au imani kuwa wanaume wanawahi kufa
Wewe utakuwa ni miongoni mwa wachache wasiokuwa hivyo.Kwavile mama yako alimuua baba yako ama dada zako waliua mashemeji zako Basi katika akili yako unatujumuisha wanawake wote, una akili fupi sana
Safi, na sex pia iwe kwa afya, usitake sifa. Bila kusahau kujipenda na kumpenda Mungu na kumuomba.Ndio maana Mimi mke wangu namzidi miaka minne.
AmenKujisahau tu, utasikia sasa ukiuza hii nyumba ukifa nitakaa wapi na watoto?
hahahhahaha labda tunajiamini sana hahahhaha, au akili ndogo au vile tumekuwa tegemezi sana, nashauri wanawake wenzangu tutafute hela ili tuepukane na haya mawazo mgando
kufa mtu yeyote anatangulia, hii ni mipango ya Mungu tu.
Safi, ila wewe ni dume.Japo hali halisi huwa ndio hiyo, familia nyingi sana baba anatangulia....
Mi naogopa kwakweli, mara nyingi sana huwa namuombea mme wangu maisha marefu, tuzeeke wote hadi tuwe tunaanikwa juani kama mahindi, kuna muda namwangalia tu najikuta nasema kimoyo moyo "Mungu mjaalie maisha marefu huyu mwanaume" ntamuombea sanaaa sanaaa
hakikaAmen
Mungu awape utambuzi mpya kwa hili
Yeah mi ni dume rijali dume la mbeguSafi, ila wewe ni dume.
Sasa mbona unajiita jina la kike?Yeah mi ni dume rijali dume la mbegu
Pamoja mkuuhakika