jeipm
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 500
- 821
We Kama umeingia kwenye ndoa ambayo hauna mapenzi nayo na kwa sababu ya pesa hauna tofauti na wadangaji na Malaya wanaojiuza mtaani
Makosa yenu mnataka kuwabebesha wanaume
Hapo mwanaume hana kosa kwa sababu hiyo siku ukijichanganya na ukaliwa Kichwa mashabiki zako watakuja humu kuandika hicho kinachotokea wenzako
Makosa yenu mnataka kuwabebesha wanaume
Hapo mwanaume hana kosa kwa sababu hiyo siku ukijichanganya na ukaliwa Kichwa mashabiki zako watakuja humu kuandika hicho kinachotokea wenzako