Wanawake wengi tunaingia kwenye ndoa na wanaume ambao hatujawapenda

Eeh, Kuna anayebisha?

Baada ya kuaona matukio mengi ya mauwaji, wanawake tunachinjwa kila siku nimeona niuseme ukweli huu..

wanawake wengi tunaingia kwenye mapenzi na tusiowapenda sababu ya kutafuta maisha mazuri tu na ndio maana ndoa tunaichoka mapema na mwanaume ukishamwingia moyoni hakuachi salama pale unapoanza dharau.

Mlishawahi skia wanawake wengi walio kwenye ndoa huwa wanawamiss ma-x zao?, Yah ni kweli, wanawake wengi wanaoingia kwenye ndoa sababu ya hali ya maisha na sio mapenzi, kuwatunuku max wao waliokuwa wanawapenda kweli ni kitu cha kawaida

Sasa basi wanaume jamani mnapotafuta wanawake wa ndoa hebu acheni show-off, hata kama una mali hebu jishushe zifiche, mfuate mwanamke kama huna kitu, hapo utapata mke wa kuowa maana atakuwa kakupenda wewe na sio pesa zako

Wengi mnawavuta wanawake kwenye ndoa kwa nguvu ya pesa na sio nguvu ya mapenzi na ndio maana wanawake wanakuja kuchuma pesa huku nyuma ya pazia Ma X, wanaendelea kuwatafunia wake zenu sababu sio mapenzi yaliyowapeleka kwenye ndoa bali ni shida

Jamani eeeh, naombeni nilale
Lkn jamaa akiwa mkazaji mzuri basi huyo X atasahaulika tu. Tatizo lipo kwenye kukaza kwa mtu akisha kuwa na hela
 
Eeh, Kuna anayebisha?

Baada ya kuaona matukio mengi ya mauwaji, wanawake tunachinjwa kila siku nimeona niuseme ukweli huu..

wanawake wengi tunaingia kwenye mapenzi na tusiowapenda sababu ya kutafuta maisha mazuri tu na ndio maana ndoa tunaichoka mapema na mwanaume ukishamwingia moyoni hakuachi salama pale unapoanza dharau.

Mlishawahi skia wanawake wengi walio kwenye ndoa huwa wanawamiss ma-x zao?, Yah ni kweli, wanawake wengi wanaoingia kwenye ndoa sababu ya hali ya maisha na sio mapenzi, kuwatunuku max wao waliokuwa wanawapenda kweli ni kitu cha kawaida

Sasa basi wanaume jamani mnapotafuta wanawake wa ndoa hebu acheni show-off, hata kama una mali hebu jishushe zifiche, mfuate mwanamke kama huna kitu, hapo utapata mke wa kuowa maana atakuwa kakupenda wewe na sio pesa zako

Wengi mnawavuta wanawake kwenye ndoa kwa nguvu ya pesa na sio nguvu ya mapenzi na ndio maana wanawake wanakuja kuchuma pesa huku nyuma ya pazia Ma X, wanaendelea kuwatafunia wake zenu sababu sio mapenzi yaliyowapeleka kwenye ndoa bali ni shida

Jamani eeeh, naombeni nilale
Wewe uko kwenye kundi gani, Wanaopenda au wanaotafuta pesa?
 
Wanawake hatujaumbiwa kupenda bwana, Mimi naweza ishi na mwanaume yoyote tu anayejielewa na kutimiza majukumu yake, zamani mama zetu wakiolewa na wanaume hawawajui kabisa na ndoa zilidumu.
Tukubali tu siku hizi Kuna wanaume wengi hawajielewi, Wana stress za kutosha ukijichaganya wafa.
Zamani ilikuwa kabla ya ndoa familia inachunguzwa na inajulikana kuanzia tabia na ukichaa na kujituma sikuhizi utandawazi watu wanaokotana hawajuani, basi wanaishi, Mara kabila hili sijui na kabila tofauti na malezi Sasa mtaacha kutesana.
Ni heri uolewe na kabila lako atleast Kuna unafuu.
Ktk ubora wako,nakupa kongole dadangu mkubwa
 
Sio wana matatizo, wenye pesa hawana muda wa kupoteza kubebishana kwenye simu siku nzima. Hapo ndipo wazee wa 'Te Amo mucho' wanapotambaa na chaki!

Unakuta demu anaandaliwa kisaikolojia muda wote anawekwa kimapenzi mapenzi hata hamu ya kuliwa inakuwa juu...Hio kazi inahitaji muda na vijana wasio busy sana ni hao ma X!
naunga mkono hoja
hv mtu mda wote akili inafikiria namna ya kupata mzigo kwa bei chn uuze kwa bei juu. hv unapata wapi mda wa kubebishana sku nzma??? hapo bado stress za TRA n.k yan unafika home umechooka huna hata hamu ya tendo. hapa ndo mwanamke anapata hamasa ya kumtafta kidume wa kumbebisha.
 
Wenye pesa huwa wana matatizo sana ndo maana hawaishi kugongewa.
sio kweli kwamba wana matatzo. yaan n hv jins unavyozid kushka pesa ndefu ndo unazid kuwa bize zaid. sasa ubize ndo unakuweka mbali na mkeo matokeo yake unagongewa


mm mwnyw kuna sku nlikuwa na girlfrend wangu chumban, mara paap nkapigiwa smu ya kibiashara nkafikiriiiia hv kati ya sex na pesa kipi n cha muhimu kwangu? nikaona pesa ndo ya muhimu. bas pale pale nkaamka nkainuka nkaanza safar. sasa katka mazngra haya n rahs kugongewa.
 
Hapo hakuna kanuni wengine watataka ndoa wakihisi umri umekwenda wengine waolewe waone kwenye ndoa kuna nini basi tafrani ukiifuata dunia na watu wake utaona maisha magumu tu hata uwe na billions of dollars maana wanawake watukupa stress ndugu marafiki jamaa serikali kila sehemu ni stress ishi maisha yako mwenyewe yeye hakupendi wewe unapemda basi imetosha
 
Huyo mwanaume alie-spend laki 8 kwako, hana akili, na ww ulietafuna laki 8 ya mwenzio una roho mbaya, bcoz alivokua anakupa hio laki 8 ulijua Nia yake, ila ukajikausha ukajifanya huelewi nia yake,

Na si ajabu pamoja na yeye kukupa hio laki 8, angekuomba mzigo mapema, bado ungemkatalia finnest

Hahahahahahaha
Boss kula hela yake ni swala lingine na yeye kula mzigo ni swala lingine.....

Afu kujikausha muhimu
 
naunga mkono hoja
hv mtu mda wote akili inafikiria namna ya kupata mzigo kwa bei chn uuze kwa bei juu. hv unapata wapi mda wa kubebishana sku nzma??? hapo bado stress za TRA n.k yan unafika home umechooka huna hata hamu ya tendo. hapa ndo mwanamke anapata hamasa ya kumtafta kidume wa kumbebisha.
wajinga mnoo
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Naona ume generalize mno. Ulitakiwa kuangalia kwa kipindi cha mwaka mmoja katika eneo lako zimefungwa ndoa ngapi, ngapi ni hai na ngapi zimevunjika. Pili ungetafiti nini chanzo cha msingi cha ndoa hizo kuvunjika. Mara nyingi hao Ex huwa hamjaishi nao kwa muda mrefu pamoja na hivyo ham experience negative yoyote tofauti na ndoa ambayo lazima mtatofautiana tu sababu mnatumia muda mwingi kuwa pamoja. Hata wanandoa mkiwa mbali kwa kipindi fulani mnakumbukana. So, kuvunjika ndoa kuna sababu nyingi sana
 
Usione umeingea pumba, hiki ndio chanzo cha matatizo ya ndoa nyingi za siku hizi, hili tumekuwa tukiliongea humu Mara kadhaa. Ni tatizo kubwa sana kuliko watu wanavyolifikiria, wanawake walio katika ndoa wanaelewa zaidi hasa wale above 35.
Eeh, Kuna anayebisha?

Baada ya kuaona matukio mengi ya mauwaji, wanawake tunachinjwa kila siku nimeona niuseme ukweli huu..

wanawake wengi tunaingia kwenye mapenzi na tusiowapenda sababu ya kutafuta maisha mazuri tu na ndio maana ndoa tunaichoka mapema na mwanaume ukishamwingia moyoni hakuachi salama pale unapoanza dharau.

Mlishawahi skia wanawake wengi walio kwenye ndoa huwa wanawamiss ma-x zao?, Yah ni kweli, wanawake wengi wanaoingia kwenye ndoa sababu ya hali ya maisha na sio mapenzi, kuwatunuku max wao waliokuwa wanawapenda kweli ni kitu cha kawaida

Sasa basi wanaume jamani mnapotafuta wanawake wa ndoa hebu acheni show-off, hata kama una mali hebu jishushe zifiche, mfuate mwanamke kama huna kitu, hapo utapata mke wa kuowa maana atakuwa kakupenda wewe na sio pesa zako

Wengi mnawavuta wanawake kwenye ndoa kwa nguvu ya pesa na sio nguvu ya mapenzi na ndio maana wanawake wanakuja kuchuma pesa huku nyuma ya pazia Ma X, wanaendelea kuwatafunia wake zenu sababu sio mapenzi yaliyowapeleka kwenye ndoa bali ni shida

Jamani eeeh, naombeni nilale
 
Sasa unakuta umemruhusu mwanaume amekula faida kabla ya ndoa unafikiri kuna nini tena hapo ?? Unaenda mbali zaidi kwa kuibariki ndoa na wapagani ...


Unategemea hiyo ndoa ina baraka ?? Kingine watu wanaoana kwa mihemko nakutaka kudai madeni ya michango ya harusi walizochangia. Unaolewa na mtu humjui na hujui chimbuko lake.

Kingine watu wengi hawana uelewa mkubwa kuhusu masuala ya ndoa. Tusichanganye ndoa na umri. Umri unaweza kuwa mkubwa, uelewa akili kijiko.
 
Yani kuna mdada nimekaa naye miaka 8,ikatokea akazingua nikasonga mbele.Anaelekea kuolewa na mtu yupo poa kabisa kiuchmi but bidada anadai lazima azae na mimi hata kama atakuwa ameolewa.Mara aseme atakaa miaka 3 then avunje ndoa aje aolewe na Mimi.Mie nakataa,namsisitiza asonge mbele,amheshimu mume wake.Unaona mambo yalivyo?
Mie mwenyewe nishaambiwa ila sikuwahi Kufanya Huo Ujinga. Akili za Hawa Viumbe ziache ziende uaizifuate
 
Eeh, Kuna anayebisha?

Baada ya kuaona matukio mengi ya mauwaji, wanawake tunachinjwa kila siku nimeona niuseme ukweli huu..

wanawake wengi tunaingia kwenye mapenzi na tusiowapenda sababu ya kutafuta maisha mazuri tu na ndio maana ndoa tunaichoka mapema na mwanaume ukishamwingia moyoni hakuachi salama pale unapoanza dharau.

Mlishawahi skia wanawake wengi walio kwenye ndoa huwa wanawamiss ma-x zao?, Yah ni kweli, wanawake wengi wanaoingia kwenye ndoa sababu ya hali ya maisha na sio mapenzi, kuwatunuku max wao waliokuwa wanawapenda kweli ni kitu cha kawaida

Sasa basi wanaume jamani mnapotafuta wanawake wa ndoa hebu acheni show-off, hata kama una mali hebu jishushe zifiche, mfuate mwanamke kama huna kitu, hapo utapata mke wa kuowa maana atakuwa kakupenda wewe na sio pesa zako

Wengi mnawavuta wanawake kwenye ndoa kwa nguvu ya pesa na sio nguvu ya mapenzi na ndio maana wanawake wanakuja kuchuma pesa huku nyuma ya pazia Ma X, wanaendelea kuwatafunia wake zenu sababu sio mapenzi yaliyowapeleka kwenye ndoa bali ni shida

Jamani eeeh, naombeni nilale
Huu ni ukweli ila unauma sana na unagusa wengi.
 
Wanawake hatujaumbiwa kupenda bwana, Mimi naweza ishi na mwanaume yoyote tu anayejielewa na kutimiza majukumu yake, zamani mama zetu wakiolewa na wanaume hawawajui kabisa na ndoa zilidumu.
Tukubali tu siku hizi Kuna wanaume wengi hawajielewi, Wana stress za kutosha ukijichaganya wafa.
Zamani ilikuwa kabla ya ndoa familia inachunguzwa na inajulikana kuanzia tabia na ukichaa na kujituma sikuhizi utandawazi watu wanaokotana hawajuani, basi wanaishi, Mara kabila hili sijui na kabila tofauti na malezi Sasa mtaacha kutesana.
Ni heri uolewe na kabila lako atleast Kuna unafuu.
Wanawake kama hawa ndio wanatakiwa kuwa wake. Umesema ukweli mtupu
 
Back
Top Bottom