appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,819
- 3,088
Kuna video inasambaa mtandaon ikimuonesha kamanda wa mkuu wa kike wa tff ikiwataka wanawake kujiunga kwa wingi katika kund hilo ili kupigana kwa kile wanachokidai kulipigania taifa kwa kutumia silaha
Nawaza tu kund hili likishirikiana na alshabab au isis tu itakuaje??
Nawaza tu kund hili likishirikiana na alshabab au isis tu itakuaje??