wanawake wasio na shukrani

na hatampata mtu tushamjua..........,kama anataka wa kuhonga wanapatikana Buguruni Malapa
eti kama ana magari ma 3 afanyaje
where are you UNDENIABLE uje umuone huyu kijana wako

nipo mumiii ....... namwona kijana wangu hapo anatupiga sarakasi!!!!!
 
Dawa yake rahisi sana mpatie notifeki kama elfu hamsini!.
 
Last edited by a moderator:
Hayatuhusu. This is your private business.
 
Nani alikudanganya Magari, fedha na Vocha zinanunua mapenzi.....Mwenzio ana wa moyoni mwake wanasaidia kutosoa mapene unayompa.....tehe tehe teheeeeeeeeeee ukiona kabeep tena mtumie laki kwani 20 hazimtoshi kulonga ya kimahaba na laazizi wake.

wewe Tamatheo umeanza lini hii tabia mbaya ya kusema ukweli ........
 
Last edited by a moderator:

kwa muda gani hizo vocha unatoa mkuu?
 
wewe Tamatheo umeanza lini hii tabia mbaya ya kusema ukweli ........

Huyu jamaa ana mawazo kama ya wanangu wa below 5yrs....yeye anafikiri kupendwa kunahitaji mbwembwe za hela, wapendwaji wanakula na kuhongwa ili waongeze nguvu kwa ajili ya mechi nyingine.
 
wale wanaojifanya wana misimamo kwenye public au kama humu jf ndo wanaongoza kwa kuhonga.
 
Huyu jamaa ana mawazo kama ya wanangu wa below 5yrs....yeye anafikiri kupendwa kunahitaji mbwembwe za hela, wapendwaji wanakula na kuhongwa ili waongeze nguvu kwa ajili ya mechi nyingine.

underlined hapo nouma!!!!
 
kweli hawana shukutani kabisa sijui umewaokota wapi
cc: Madame B unamkumbuka huyu notifeki
 
Last edited by a moderator:
If that is true unatumika balaa

Fungua macho uone labda uko dunia nyingine na hii tuliopo wengine.

pole if and if this is true story.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…