Wanawake/Wasichana tuwe makini sana

Iwe chai au uji mm sijui...

Neno ni mojaaa tu.....
Mimi kwangu, Ex sijui X sijui Ekisi harudiwi hataaa aje na trick gani, kwanza mm tukishaachaa for 3 Months, ujueee ndy imeishaaaa hivyooooo hata out sijui Night date siji....

Pole yakee mdada
Mbona umezungumza kwa hasira hivyo?
 
Unawasiliana na kukutana na ex wako wa nini..??? Hata kama mnasema mmeachana kwa amani basi faham upande mmoja haujaridhia...
Ukiachana na mtu futa namba na uishi kama huyo mtu hajawahi ku exist kwenye huu ulimwengu. And that's my rule
that's it my dear,hakunaga thamani ya ex hata siku moja
 
Huyo ameachwa ajihukumu kama atajiuwa au lah atajua mwenyewe,wiki iliyopita Kimara TRA kama unaelekea King‘oko kuna binti nadhani aged 22 or 24 alibakwa/kulawitiwa kisha kuuwawa na kutupwa kiasi cha metre 70 kutoka kwao,na yote haya ni mahusiano.

Wanawake kizazi hiki wamezidi njaa,wakipata sponsor hata kama sponsor hayuko sawa kiuchumi hawamwambii mapema siyo size yao wanachofanya wao wanakaa wanamtia tia hasara huku wanatafuta wanayedhani anawafaa wakipata kwanza wanaleta dharau kisha wanam-dump yule wa mwanzo bila kujali ni kiasi gani wamespend mali na muda wake,react ya mwanaume haionekani usoni ila utakutana na madhara yake kama hivi kudhalilishwa au kuuwawa.

Ukweli ni kwamba wanawake hawana cha ku-offer ktk mahusiano zaidi ya ngono hata wawe na kazi wamzidi mume mshahara still watamletea dharau (ubahatike upate atakaekuzalia watoto hawa ni wa kuwaheshimu) the rest ni wajinga tu,simung’unyi maneno mimi na-support wanaume wanaowadhuru wanawake vichwa panzi wanaoshindwa kuijua thamani ya heshima ya mwanaume no matter na wao wanajidhuru ila acha wauwawe kizazi kijacho cha jinsia hii kikikua kisije nacho kikawasumbua vijana wetu.
 
Kuna kipengele umeacha alilewa bia kubwa tano na K vant pia
Hapo ndo alijiroga alijifanya anamkomesha ex mwishowe kakomeshwa yeye ila I swear mwanaume atakaenibaka kupiga picha na kurusha kwenye mitandao nikishindwa kumuua,ntamfunga maisha ,na nikishindwa namroga ntaenda hata msumbiji aseeh sijawahi roga mtu Ila ntajifunzia kwake...
Kumbe we ni ke
 
Kurudiana au kukubali wito wa kuonana na mtu mliyeachana huwa ni kosa kubwa mno kiufundi.

Si kwa wanawake tu bali hata wanaume hukutana na matukio.
Yule mwamba alichomwa moto ndan makabe nae si hv hv alitwa na demu ambae walishaachana kumbe demu ana yake
 
Mwanamke akifanyiwa tukio dunia nzima itajua ila mwanaume akifanyiwa tukio wanawake wanafurahia na kushangilia kama vile wao ni innocent sana.
 
Kuna kipengele umeacha alilewa bia kubwa tano na K vant pia
Hapo ndo alijiroga alijifanya anamkomesha ex mwishowe kakomeshwa yeye ila I swear mwanaume atakaenibaka kupiga picha na kurusha kwenye mitandao nikishindwa kumuua,ntamfunga maisha ,na nikishindwa namroga ntaenda hata msumbiji aseeh sijawahi roga mtu Ila ntajifunzia kwake...
Ndo mjifunze kupitia kwa mwenzenu
 
IMG_3194.jpg
 
Hii yote Ni pale unapojiona mmiliki wa mtoto wa mwenzio.
Kiburi Cha umiliki kinatufanya tuone tuna haki zote juu ya maamuzi ya mtu ambae kazaliwa na free will... Mapenzi yenyewe ya kujibanza ukamharibu mtoto wa mwenzio😎
 
Back
Top Bottom