stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,843
- 22,962
Ngoja mimi nichangie hivi,wanawake wengi unaoona wewe ni warembo sio warembo hivyo unavyodhani,unakuta wengi wamefanya mavitu ya kuongezea urembo,inaweza kuwa nguo,cosmetics,nywele na mapambo ya kila aina,wakati kiuhalisia asipojipamba unamkuta ni wa kawaida au hata mboya kabisa wa sura.Kingine wengi wao inawezekana pia sina uhakika sana,huwa wanashabikiwa sana na wanaume wenye sura mbaya au za kawaida sana, kwahiyo kwenye huo mchanganyiko my friend usitegemee muujiza...Hapo vip!
Nimejaribu kuchunguza,nimeona wanawake warembo wanaongoza kuzaa watoto wenye sura mbovu,mbovu.
Hivi tatizo ni nini?