Takwimu zinaonyesha kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume duniani kote ndio maana wanaume wengine wanaoa wakee wengi na wengine wanaoa mmoja lakini nje pia wanatoka ili haki itendeke kwa wote, sasa kila mwanaume akiwa na mke mmoja na nje ya ndoa hawatoki nje inamaana wanawake wengine watakosa wanaume hata wakufanya nao mapenzi tu na huku wengine wakifurahia mapenzi je ni haki? Ndio maana ushindani kwa wanawake kuolewa unaongezeka siku hadi siku na wanandoa wanafanyiwa visa ili waachane na wengine wafaidi so ladies be carefully ukimpata wako assume mko vitani.