Wanawake wanavyosababisha upungufu wa nguvu za kiume

Mimi nakubaliana nawe kwa kiasi kikubwa japokuwa nina point kidogo ya kuchangia, si vyema kuwalaumu wanawake kwamba wanasababisha upungufu wa nguvu ya mtalimbo, kwa sababu haya ni matatizo tuliyonayo sisi wenyewe kutokana na mapungufu yetu mbalimbali ya kimwili.lakini pia nikusapoti tu kwamba mwanamke ana uwezo wa kusaidia kwa asilimia kubwa tu kuweza kupata ufumbuzi wa tatizo hili, husussan katika kipengele chako cha pili kwamba mwanamke mwenye ujuzi katika tendo la ndoa huweza kutoa msisimko wa aina yake hivyo kumfanya mwanamme mwenye upungufu wa nguvu kuweza kugain power.Nitoe mfano hai kwa mimi mwenyewe, umri wangu ni miaka 40,hapo zamani enzi za 16-35. nilikuwa na uwezo wa kuunganisha magoli 2 ndani kwa ndani, yaani kile cha kwanza chenye kiherehere nilikuwa naunganisha na cha pili humohumo bila kutoa nje. na pia nilikuwa nafululiza kila siku mchezo huo karibu wiki 3 za mwezi. leo hii huwa napiga bao 1 kisha nakula pozi kama dakika 40 au hata saa nzima kisha jogoo anawika tena naingia mchezoni, hili la pili kama kawa ni la muda mrefu nikipiga bao hilo nalala hadi mapambazuko hapo napata la tatu na ndio mwisho wa mchezo.lakini kitu cha kushangaza, nililala na malaya mmoja, hata sikumpenda kwani ni rafiki yangu ndo aliniletea tulipolala Hotel, kwa kuwa nilikuwa nina "njaa" basi nilikubali kwa shingo upande kuwa nae. lile bao la kwanza nililipata haraka haraka na nikatamani nimfukuze, nafikiri alitambua nini mawazo yangu, aliniparamia kifuani na kuanza kunishikashika, badala ya mimi kunyonya chuchu zake yeye ndio akawa ananinyonya, ghafla mwili ukasisimka, jogoo akawika kwa muda mfupi sana ndani ya dk 10 tu tangu bao la kwanza jogoo alishawika tena, akaanza kupanda kwa awamu ya pili. baada ya bao la pili yule Dada akaondoka kwenda kwao. huku nyuma nilishangaa sana nikasema kumbe bado nina uwezo uleule wa enzi zangu. kinachotakiwa ni mitindo tu ya mchezo. wakati mwingine hawa wake zetu eti wanaona aibu kuwafanyia mitindo waume zao, ndio maana jogoo anaweza kuwika mara 1 au 2 tu kwa siku. huko nje majogoo yanawika sana. Tuwaelimishe wake zetu wasitubanie mitindo.
<br />
<br />hata mkeo siku anapotoka,anaridhìshwa sana na hao wanaume wa nje,hapo ndo pa kujiuliza maswali.
 
Unajua hii issue ya kupungua nguvu za kiume kwa sababu za kisaikologia (sio kimaumbile au ugonjwa mfano kisukari) ni tatizo kubwa sana sasa...na naweza sema kuwa ukubwa wake unasababishwa sana hali ya kimahusiano kati ya wapenzi au washiriki tendo.

Fiziolojia (physiology) ya uume kusimama na kuwa mgumu/wenye nguvu inatawaliwa sana na vichocheo ambavyo mwili wa mwanaume unatoa unapokuwa stimulated. Kiumbile (anatomically)..tishu ya uume ni kama sponji (corpus cavernosa), na hivyo usipokuwa stimulated unalegea. Lakini unapokuwa stimulated, vichocheo mabli mbali vinamwagwa kwenye mwili wa binadamu na damu inajaa kwa wingi kwenye hii spongy tissue na kuufanya uume kuwa mgumu na umesimama. Huku kuwa stimulated na kumwagwa kwa vichocheo hivyo kunategemeana sana na utayari wa mwanaume kisaikolojia....hapa ndio tatizo lilipo, na hapo ndio ndipo mwanamke anaweza aidha kumfanya mwenza/mpenzim wake kuwa na nguvu za kiume au apungukiwe na nguvu za kiume (provided hakuna matatizo ya kimaumbile au ugonjwa).

Mawanamke asiye tayari kiasaikolojia anaweza kuingiliwa, hata mara kadhaa tu...lakini mwanaume asiye tayari kisaikolojia hawezi kumuingilia mwanamke kwani mfumo mzima wa kifiziolojia utakaopelekea uume kusimama na kuwa na nguvu unategemea sana utayari wa kisaikolojia. Uelewa na utundu wa mwanamke ni tiba nzuri sana ya upungufu wa nguvu za kiume..lakini attitude ya wanawake wengi towards upungufu wa nguvu za kiume kwa wenza/wapenzi wao ni mbaya na hivyo kufanya tatizo liwe kubwa zaidi na zaidi, na hii inamnyima mwanaume confidence hata anapoenda kwa mwanamke mwingine tatizo linakuwa lile lile!
 
Wanawake wengi wa kizazi hichi wamekuwa kama magogo katika 6x6 wanasubiri dume lilime, lipallie na kuvuna mazao..
 
nyumba ndogo sio solution bali ni wewe na mke wako kuaelimishana tu mengine yako kisaikolojia tu wala sio uchawi wala nini nakazi tupunguze au tule vyakula vinavyotia mwili ndugu na mazoezi kwa sehemu fulani mambo yatakuwa ok
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom