faru john junior
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 1,596
- 1,717
Hizi ni kucha au mafungu ya tangawizi yakiwa sokoniHizi hapa kwa kumsaidia mleta uziView attachment 2297691
Hizi ni kucha au mafungu ya tangawizi yakiwa sokoniHizi hapa kwa kumsaidia mleta uziView attachment 2297691
Thd imesema wenye asili ya vidole virefu na kucha ndefu....siyo zilizofugwaMbona mnatuchanganya sana?
Tusafishe kucha au tutafute hela?
Hivi kuna wanaume wanao safisha kucha?
Japo ukiwa na pesa ivo vyote havionekani😜Mbona mnatuchanganya sana?
Tusafishe kucha au tutafute hela?
Hivi kuna wanaume wanao safisha kucha?
Mwanamke hajawahi kuvutiwa na chochote kutoka kwa mwanaume, mwanamke kuvutiwa na kitu ni suala la mood swingsNikipita social media unakuta kama mwanaume amepost kitu then kuna sehemu ya mkono, unaona baadhi ya wadada wanasema " unakucha nzuri, post mkono niuone" sasa nauliza inamaa mwanamke anaweza mpenda mwanaume sababu ya kucha za mikono? Na hizo kucha nzuri zinakuaje?
Wanawake wanapenda kufuga kucha na nywele,so akipenda kucha za Mwanaume haimaanishi kua kampenda huyo Mwanaume kisa kucha bali anatamani zile kucha zingekua zake,the same applies na kwenye nywele.Thd imesema wenye asili ya vidole virefu na kucha ndefu....siyo zilizofugwa
Can’t break the cycle if you’re part of it. Have to be irrational and extricate yourself from everything and be a contained system that bucks the trend, then locate an opposite sex outlier that does the same.Mkuu mbona tunatesana sasa?
Sasa hizo sio kucha, ni macho ya samaki.Hizi hapa kwa kumsaidia mleta uziView attachment 2297691
YeahNikipita social media unakuta kama mwanaume amepost kitu then kuna sehemu ya mkono, unaona baadhi ya wadada wanasema " unakucha nzuri, post mkono niuone" sasa nauliza inamaa mwanamke anaweza mpenda mwanaume sababu ya kucha za mikono? Na hizo kucha nzuri zinakuaje?
Update
Mmoja kanitumia hivi
View attachment 2298672
Si ndo hapoMwonekano ukose, pesa ukose, vidole virefu vyenye kucha zenye umbo refu ukosesasa nitakupendea nini...
sophyHizi kucha na vidole tangawizi tupu
MmhMwanamke hajawahi kuvutiwa na chochote kutoka kwa mwanaume, mwanamke kuvutiwa na kitu ni suala la mood swings
MmhJapo ukiwa na pesa ivo vyote havionekani
😂😂😂Ndio, halafu avae sandals sasa tunadata.
Hapana The Icebreaker ....vidole virefu vinafaa kwenye maandaliz ...ninavyokugeuzia k huku kinywa changu kipo kwenye roll pop Yako wewe Kaz Yako ni kutumia ulimi wako na vidole kuchovyachovya k yangu...sasa kama vifupi havileti radha kabisa 😏Wanawake wanapenda kufuga kucha na nywele,so akipenda kucha za Mwanaume haimaanishi kua kampenda huyo Mwanaume kisa kucha bali anatamani zile kucha zingekua zake,the same applies na kwenye nywele.
Mkono wa kiume huo?Nikipita social media unakuta kama mwanaume amepost kitu then kuna sehemu ya mkono, unaona baadhi ya wadada wanasema " unakucha nzuri, post mkono niuone" sasa nauliza inamaa mwanamke anaweza mpenda mwanaume sababu ya
🤣mi najikaza aiseeMmh
Mi hata uwe na Hela bado Kuna vitu nitaangalia tu
Kwan nimesema uongo😂😂😂sophy
Hiyo ni mood swings tu, ukimpata huyo utacheat kwa sababu siku nyingine utamuona mwingine anayekuvutia kwa kitu kingineMmh
Hapana Huwa tunavutiwa sana tu asikwambie mtu....
Mi Kuna vitu vinanivutia aisee
Kwwnye USO lzm niangalie macho ,Kuna aina ya mamcho nayapenda
Lips
Ila pia mwanaume mweusi ,aisee napenda!
Na mwili wa kawaida .....