wanawake;wanaunga mkono uwepo wa mashoga?

wanawake;wanaunga mkono uwepo wa mashoga?

TANZANNIA

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2015
Posts
1,047
Reaction score
385
miaka ya hivi karibuni kumekuwa na vuguvugu kubwa sana la kutaka mapenzi ya jinsia moja especially kwa wanaume/wanaume yatambuliwe kisheria,na jambo hili limekuwa likivaliwa njuga na nchi za ulaya na amerika nabaadhi ya nchi za kiafrika,
sijajua msimamo wa wanawake,hasa wale wanaojiuza kuhusiana na jambo hili,je wanaunga mkono kwamba wamepata wasaidizi au wanapinga kuwa soko limeingiliwa?
 
Mwanaume ukiisha kuwa shoga akili yako inafanana na upande wa pili so wakiwa maswahiba hawadhuriani.
 
cf89aac55b193ad3862543f5bc999b3c.jpg
[emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107]
 
Back
Top Bottom