Wanawake wanatuchukuliaje wanaume aina hii?

Umeoa lakini hujielewi.
 
Umeoa kweli wewe? Hiyo mkeo unamuhendo vp kama ishu ndogo kama hii unaombea ushauri huku jf mbaya zaidi hadi kwa mkeo.
Nimemshangaa. Huyu na mashaka hata kuoa kama kaoa. Small issues kama hiz ni za kupotezea
 
Unamaanisha nisingemwambia wife ningemla kimya kimya sasa mkuu ningetaka kumla ningemla kwao ila nilibadili gia kwenye bus baada ya kuona sio kila mwanamke alie mbele yako umle mbona uzi umejieleza vizuri

Nimemwambia wife kutokana sijaona ubaya ikiwa nimemchukulia kama dada au ndugu mwingine wa kike.

Kinachofanya nilete uzi kuomba ushauri ni kwamba sisi binadamu huwaza tofauti unaweza sema na yy ananichukulia hivyo kumbe na yy anawaza kama wana wanavyonilaumu hapo juu hapa ndio nipo kwenye panda njia nisije kusababisha mtafaruku
 
1. Sijaona mantiki ya kumshirikisha wife, itakuletea balaa mbele ya safari;
2.Mfahamishe aifahamu status yako baada ya hapo ataamua(mtaamua) kuendelea au vinginevyo.
 
Umekuwa muwazi kuelezea ukweli kwa upande wako ila kwanini huu ukweli usimueleze na huyo mwanamke aelewe uhalisia?

Kinachokupa wakati mgumu ni kwasababu ya kutoongea ukweli kwake hivyo unawaza vipi akijua una mke?

Lengo lako ni lipi hasa wewe kushindwa kumueleza una mke??

Kiufupi huyo mwanamke haji kuitazama familia yako anakuja kukuona wewe na atimize haja ya moyo wake.
 
Inaelekea kila kitu ufanyacho lazima umwambie mkeo.

Anyways.... ila kwa hili mpaka sasa bado sijapata jibu kamili kwamba kati yako na mkeo nani akili zake ni mwezi mchanga zaidi...
 
Sawa sawa mpeleke kwa mkeo moto ukawake[emoji28]
Mkuu Ndio ishu inayonipa wakati mgumu wadau wengine wanasema nimkodie lodge unaanzaje kumkosoa mtu lodge mtu ambaye hajawahi kuongelea kuhusu mapenzi
 
No more Mr Nice Guy.

Tafuta hicho kitabu soma mkuu kitakusaidia sana.
 
Upande mmoja uko sawa, tena ni vizuri ukimwambia kuwa una mke, lakini upande wa pili nyie ndio mnasababisha wanaume tuonekane mabwege kimtindo!! Ulishindwaje kumpelekea moto mwisho wa safari!!
 
Ila ningekwambia safari yetu iliishia gest ningekuwa nimejielewa?
Haijalishi mtaishia makaburini. Lakin ishu kama hiyo una handle vizur tu. Kulikuwa hakuna haja ya kumwambia mtu.

Grow some balls man.. acha kuwa mr.nice guy utakaribisha negative elements kwenye maisha yako
 
Umeoa kweli wewe? Hiyo mkeo unamuhendo vp kama ishu ndogo kama hii unaombea ushauri huku jf mbaya zaidi hadi kwa mkeo.
Kuna usemi ulikuwa unasema

MCHEPUKO UNAKUSUMBUA HADI UNATAMANI UMHADITHIE MKE

hii ndio iliyo mkuta mdau
 
Kaka shikamoo, mie mdogo wako sijaona mantiki ya kumficha huyo dada marital status yako Hadi sasa, wee muweke wazi ndio utajua lengo la kutaka kuja home ni Nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…