Wanawake wanatuchukuliaje wanaume aina hii?

Wanawake wanatuchukuliaje wanaume aina hii?

Habari wakuu

Moja kwa moja kwenye mada. Kuna binti mmoja nilitokea kukutana nae kwenye bus ambapo nilikaa nae siti moja kama unavyojua sisi wanaume ni katokea kumtamani ila sikuonesha hisia zozote vijana tunasema nikamlia ngumu bila salam wala tabasam tumefika katika ya safari

Hapo cha kufanya mtafutie wife safari ya ghafla, wife aondoke hapo home ili uwe huru huyo binti akija.
 
Habari wakuu

Moja kwa moja kwenye mada. Kuna binti mmoja nilitokea kukutana nae kwenye bus ambapo nilikaa nae siti moja kama unavyojua sisi wanaume ni katokea kumtamani ila sikuonesha hisia zozote vijana tunasema nikamlia ngumu bila salam wala tabasam tumefika katika ya safari
Mwambie akope tu, ulipo hakuna huduma za fedha.Akija mfikishe pahala kwa msela umtafune mchana kutwa na umwambie una safari jioni.Huwa Hawapendi ukweli utamrusha ndege huyo kashanasa
 
Hilo tatizo linaweza kutoa kwenye mchezo na kukuharibia vingi hasa mwanaume mwenye majukumu
Sio kukutoa tu. Unakaribisha negative elements kwenye maiaha yako bila wewe kujua. Is why wanaume wenye msimamo ni favourite kuliko ambao hawawe kusema hapana
 
Habari wakuu

Moja kwa moja kwenye mada. Kuna binti mmoja nilitokea kukutana nae kwenye bus ambapo nilikaa nae siti moja kama unavyojua sisi wanaume ni katokea kumtamani ila sikuonesha hisia zozote vijana tunasema nikamlia ngumu bila salam wala tabasam tumefika katika ya safari

Akaanza kuniongelesha kwa kuomba simu yangu basi nikasema inshallah bora alivyoanza yeye tukaanza piga story za uongo na ukweli akawa ananinunulia vitu vya hapa na pale

Tumefika muda tukawa kama tumewahi Kutana sehem au ni ndugu na katika ile safari nilikuw naelekea
mimi ni mgeni sijawahi kwenda
ila kwa upande wa yule binti ni mwenyeji basi akawa ananielekeza baadhi ya maeneo maana safari ilichukua kama masaa13 mpaka kufika hiyo sehem

Basi akawa ananielezea maisha yake nilipenda sana jinsi alivyokuwa na tabia ya ucheshi akapelekea nimchukulie kama dada yangu kufikia hapo tamaa zangu za kumtaka kum....zikakata kumbe mwenzangu anahisia tofauti na mm

Basi hadi kufika mwisho wa safari tukaagana vizuri end the day tukawa tunasaidiana akiishiwa kitu na mtumia pesa nikiishiwa ananitumia

So tunaishi hivyo na jana amenicheki anaomba aje kwangu kwa hiyo nimuongezee nauli na ukiangalia mimi nimeoa na sijamwambia kuhusu hilo

Na sijui yeye ananichukulieje maana hatujawahi kuongelea kuhusu mahusiano sasa sijui nimkubalie aje hom kwangu au nifanyeje maana wife nilimueleza kuhusu hilo akasema mwambie aje ila kwa upande wa yule binti ndio sijamjuza chochote ushauri wenu wakuu
We ni mtu wa ajabu. Uliwezaje kumueleza mke wako kuhusu huyo binti. Hata kama huja-date naye hukuwa na haja ya kumueleza mkeo. Kuna mambo mwingine kama mwanaume unatakiwa ukae nayo kifuani.
 
Mkuu Ndio ishu inayonipa wakati mgumu wadau wengine wanasema nimkodie lodge unaanzaje kumkosoa mtu lodge mtu ambaye hajawahi kuongelea kuhusu mapenzi
Sasa kwako anakuja kufanyaje au kutalii?
 
Ulimwambia mkeo umekutana na mwanamke kwenye gari, mkapiga story, mkabadilishana namba na unamchukulia kama dada ako??? Aseeee.....
 
Umesahau leo kuambatanisha picha zako zile ukiwa sayarini FB?
 
Kuna muda huwa najiona mimi ni mjinga sana ila kumbe viwango vya ujinga vinapisha na mpumbavu kama huyu..
 
Back
Top Bottom