Wanawake wanataka nini/What do women want?

Wanawake wanataka nini/What do women want?

mi kiingereza nakifaham kwa mbaal lakin hiki chako mh!!! nadhan hyo sentens i mean heading ina walakin!

Anajua sana kizungu mi naona heading kama imebadilishwa aliandikwa kiswahilii tu
 
mi kiingereza nakifaham kwa mbaal lakin hiki chako mh!!! nadhan hyo sentens i mean heading ina walakin!

Jikite kwenye topic na ujibu hoja iwapo una hoja sio kuwa critic wa hoja najua ningerekebisha lakini sikuona umuhimu niliweka katika lugha mbili kutia msisitizo ningerekebisha wanawake wanataka nini? Lakini huwa sipendi kuedit maana siandiki paper wala kitabu ni thread. Kichwa cha thread na habari inaeleweka jibu hoja sio kuwa critic na detractor kwa kuangalia fasihi hatuongelei lugha hapa toa hoja iwapo huna kaa kimya
 
Kwa hii stori fupi mi.bado jibu nsona ni pesa na cheo kwan huyu mwanamke kamkubar huyo mzee jiri ya pesa na cheo alchonacho ukiachana na cha baba ake.
Angekua kaenda kwa mzee fukara swali lingekua gumu lakn kwa hili jibu tunapata ni pesa na madaraka
 
Naandika hii hoja nikitafuta majibu yakinifu na ya msingi kutoka kwa wanawake pia wanaume wenye majibu sahihi uzi wangu nimeuliza wanawake wanataka nini? Maana nimeangalia katika hili nimeshindwa kupata majibu. Case study yetu ya swali hili itamlenga mke wa pili wa rais wa zamani wa Gabon Judith Lucien Bongo mwanamke huyu alikuwa mtoto wa Rais wa Congo Brazaville Rais Denis Sassou Nguesso akiwa msomi kakobea kwenye taaluma ya udaktari na pia ni mwanamke mzuri kwelikweli aliamua kuolewa na mwanaume anayemzidi takribani miaka 30

Pamoja na kuwa ni mtoto wa Rais Denis Sessou Nguesso kakulia kwenya mali na madaraka pia ana taaluma na ni mzuri anaweza olewa kwa kugombaniwa ukizingatia ni mtoto wa president ambaye hakuwa na ukomo wa kutawala lakini bado aliamua kuolewa na Rais wa nchi jirani ya Gabon akiwa mke wa pili na aliyemuoa akiwa na miaka 8 zaidi ya umri wa baba yake na akimzidi Judith miaka 29 na si kwamba ni handsome bali wa kawaida mwenye kimo cha futi 4 11" hata futi tano hafiki

Kwanini afanye vile? Angekuwa mtoto wa masikini tungeelewa, angekuwa hana taaluma tungeelewa, angekuwa fukara tungeelewa, baba yake asingekuwa rais tungeelewa yaani kwanini aamue kuolewa na mzee vile kwa sababu tu mmewe ni Rais wakati na baba yake ni rais pia na kakulia ikulu? Jamani naomba majibu yasiyo na mzaha nijue psychology ya hili swala ni nini haswa jibuni kwa kadri mjuavyo. Ahsanteni

Mkuu issue yangu ipo kwenye title ya uzi wako. Sehemu ya kiswahili ipo wazi na inaendana na thread yako vizuri. Sehemu ya pili maana yake ni kwamba wanataka wanawake wa aina gani. Bila shaka uki refer wanaume. Kama hiyo ndiyo ilikuwa maana, basi kwenye thread hujaligusa. Kama ilikuwa msisitizo tu toka kiswahili hadi kiingereza, then ingekuwa What do women want?
Nikirudi kwenye maada, kisaikologia namwelewa huyo dada. Kwa sifa na familia yake angetaka kuwa Rais wa nchi! Labda aliona ingekuwa ngumu. Kitu cha karibu zaidi ilikuwa kuwa mke wa Rais! Labda alikuwa na ndoto za kuurithi urais huo!
 
Kwa hii stori fupi mi.bado jibu nsona ni pesa na cheo kwan huyu mwanamke kamkubar huyo mzee jiri ya pesa na cheo alchonacho ukiachana na cha baba ake.
Angekua kaenda kwa mzee fukara swali lingekua gumu lakn kwa hili jibu tunapata ni pesa na madaraka

Sawa lakini binti ni mzaliwa wa kwanza kwa baba yake na alipendwa sana kasomeshwa Ufaransa shule za kifahari kamaliza na kurudi nyumbani akawa mkuu wa taasisi ya ukimwi na magonjwa ya miripuko kumbuka taasisi hizi zina fedha sana toka.kwa wahisani pia mshauri wa rais wa mambo ya afya ana mali za kumwaga kumbuka baba yake alitwaa madaraka akiwa na miaka 12 baada ya kuuawa Rais Marian Nguabi wanajeshi wakachagua mwanajeshi mwingine baba yake ana majumba ufaransa, Ubelgiji na Uhispania pesa si tatizo kwake, ufahari si tatizo kwake na baba yake hana kikomo cha kutawala.kwamba muda wetu unaisha kama JK ok umri si tatizo lakini kweli asiwe na aibu mme anayemvulia nguo ni mkubwa kwa baba yake miaka 8? Na hana sababu ya kufanya vile maana ana kila kitu kuanzia urais ni wa familia na pesa za kumwaga wanazo kwanini?
 
Mkuu issue yangu ipo kwenye title ya uzi wako. Sehemu ya kiswahili ipo wazi na inaendana na thread yako vizuri. Sehemu ya pili maana yake ni kwamba wanataka wanawake wa aina gani. Bila shaka uki refer wanaume. Kama hiyo ndiyo ilikuwa maana, basi kwenye thread hujaligusa. Kama ilikuwa msisitizo tu toka kiswahili hadi kiingereza, then ingekuwa What do women want?
Nikirudi kwenye maada, kisaikologia namwelewa huyo dada. Kwa sifa na familia yake angetaka kuwa Rais wa nchi! Labda aliona ingekuwa ngumu. Kitu cha karibu zaidi ilikuwa kuwa mke wa Rais! Labda alikuwa na ndoto za kuurithi urais huo!

Mkuu uko sahihi nilipitiwa pote kwenye kiswahili nilitaka. Wanawake wanataka nini? Ambayo tafsiri yake what do women want nimeandika usiku ukweli kwenye title nilikuwa nakimbia kufanya editing panagoma ntacheki na moderator nashukuru kwa kucomment kwenye marekebisho
 
si wanawake tu hata wanaume hali kadhalika hawatabiriki kama hali ya hewa,in short mapenzi hayana formular
 
anachotaka mwanamke kwa mwanaume ni siri yake moyoni mwake.ndo mana havifanani!ila Mara nyingi wanawake tunapenda tupate wanaume wenye sifa zinazofanana na baba zetu iwapo baba ni mume mwema kwa mama yako.na ikitokea baba yako si baba mwema au alimtelekeza mama yako basi utapenda uwe na mume mwenye sifa tofauti na baba yako.
 
mm nataka pesa yaan kila ninachohitaji nipate.security and love.
 
Wanawake mnataka nini = what women do they want... kwa hisani ya dikshenari ya kipare. Bila kuweka kimombo tungejuaje kaenda shule? ushasoma headings za hadithi za shigongo? unaangalia bongo movies? ndo ujue watanzania tumekuwa watumwa wa lugha ya watu, afu bahati mbaya sana hatuijui kiviiile...

Wanawake mnataka nini? Kwangu mimi nlishaelewa swali, sikuhitaji tafsiri ya kimombo wakati hoja yenyewe imeletwa kwa kiswahili.

Turudi kwenye mada, eti flora, we huwa unataka nini ukiacha mgegedo na mapesa?

Nilipitiwa ilisharekebishwa nimeandika usiku natoka mechi ya Brazil vs Mexico nilikuwa na haraka ya kuandika bahati mbaya ukikosea title kuedit shughuli
 
mi kiingereza nakifaham kwa mbaal lakin hiki chako mh!!! nadhan hyo sentens i mean heading ina walakin!

Uko sahihi nilichapia ila kurekebisha heading huwa kazi baada ya kugundua vile sikuwa na jinsi hata marekebisho yanakuja kwenye title ya chini ile ya juu imegoma basi changia makosa yalishatokea ya fasihi ila topic imeeleweka
 
Back
Top Bottom