Shakara
Senior Member
- Aug 11, 2018
- 158
- 459
Sawa sawa.Oh...nimekupata pwenti yako.
Sawa sawa.Oh...nimekupata pwenti yako.
Chumbani haingii mtu mpaka siku akiwa keshanasa na nipo 100% tumepatana.Hicho kitanda kinaonesha kuwa anayekilalia na kukitunza lazima awe mnyanyasaji na mbishoo sna. Unaweza ambiwa uvulie nguo barabarani. Ndo maana wanakukimbia kwanza ila wakiona kumbe hata nanii umemtongoza wanashangaa tu
Kwanza hata hiyo six pack hawezi kuiona mpaka siku akipata nafasi kuingia hapo chumbani.Hicho kitanda kinaonesha kuwa anayekilalia na kukitunza lazima awe mnyanyasaji na mbishoo sna. Unaweza ambiwa uvulie nguo barabarani. Ndo maana wanakukimbia kwanza ila wakiona kumbe hata nanii umemtongoza wanashangaa tu
Vaa yako, nena yako, hata lile neno "Karibu kwangu" tu linawashutuaChumbani haingii mtu mpaka siku akiwa keshanasa na nipo 100% tumepatana.
Sasa aogope kabla hajakubali kakiona wapi hicho kitanda jaman.
Asee!!Hicho kitanda kinaonesha kuwa anayekilalia na kukitunza lazima awe mnyanyasaji na mbishoo sna. Unaweza ambiwa uvulie nguo barabarani. Ndo maana wanakukimbia kwanza ila wakiona kumbe hata nanii umemtongoza wanashangaa tu
Vaa yako, nena yako, hata lile neno "Karibu kwangu" tu linawashutua
Hahaha.Sijaelewa mimi, baada ya kuona hicho kitanda ndo wanaanza kukuita dear ama?!
Mbona kucheka tena! Au wewe umeelewa uhusiano wa kitanda na thread!Hahaha.
Ngoja niendelee kukuzoea taratibu taratibu kabla sjashusha punch linesHata mwaka🙂🙂🙂
Upo sahihi kabisaaaNi vizuri kuzoeana kwanza ndio mapenzi yanapochepukia.
Siwezi kusema nakupenda ndani ya siku au wiki hata miezi.
Kwahiyo jibu ni kuwa tunapenda taratibu na kulingana na kile tunachokiona kutoka kwa muhusika, na sio kama tunashobokea aina flani ya maisha tunayo wakuta mnayo
Upo sahihi kabisaaa
Ngoja niendelee kukuzoea taratibu taratibu kabla sjashusha punch lines
Ni bora utangaze nia mapema,ukichelewa mwana si wakoTatizo lenu mkikutana na mwanamke siku hiyo hiyo unataka kutongoza. Lazima ukataliwe
SawaNi bora utangaze nia mapema,ukichelewa mwana si wako
Mawazo yetu sawa tuMbona kucheka tena! Au wewe umeelewa uhusiano wa kitanda na thread!