feysher
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 2,656
- 2,775
Kipo vizuri? Au ndio mnaita kipo romantic
Combo ya colours na setting yes ni romantic
Kipo vizuri? Au ndio mnaita kipo romantic
Ndio maana wanakuwaga kama hawasikii...hawaoni...kila ukionesha ulishapotezea wao ndio kwanzaa wanakuonesha makopa kopa.Kuzoeana kuna leta kumfahamu mtu kiundani,,,
hakuna kitu kizuri kuingia kwenye mahusiano baada ya urafiki,utasikia I married my best friend,ni kwamba anakujua ulivyo na mapungufu yako na akaona anaweza kuishi na wewe....
ukikubaliwa siku ya kwanza,it means mtu hakujui vizuri...inayopelekea mahusiano yenu kutokua na foundation nzuri,na baadae migogoro utasikia 'I wish I knew,this before'......na wengine wako kimaslahi zaidi
Ndio maana wanakuwaga kama hawasikii...hawaoni...kila ukionesha ulishapotezea wao ndio kwanzaa wanakuonesha makopa kopa.
Sijui, ila kwangu inachukua mda sana tu.Ahaa...mna buy time.
Mi nilidhani kupenda sio lazima iwe mda mreefuuu...
Hapana, neno kupenda lina maana tofauti.Ukiwa na mtu bila kumpenda utakuwa unafanyaje vitu vya kiupendo ...unaigiza ukweli ama!?
Nimuogope kwa nini kama hana sifa si nitaona along the road.kuwa patient,ukionyesha kupotezea..una poteza watu ambao wangekua muhimu kwako..ogopa mtu unayemtongoza na kukukubali hapo hapo...
Nimuogope kwa nini kama hana sifa si nitaona along the road.
Unajua unaweza tongoza/tongozwa na mtu ambaye tayari ulishamkubali.
Sasa kwa nn umzungushe?!
Kikubwa ni kuprove kwa vitendo tu.
Mimi mwenyewe najua tofauti za LIKE na LOVE.Hapana, neno kupenda lina maana tofauti.
Naweza kusema I like you ni tofauti na kusema I love you.
Kwa hiyo mwanzoni nitaku Like halafu nitakuja kuku Love, nikishindwa kuku Love, nakupotezea.
Ndio maana naogopa sana watu wanaoambiana I love you ndani wa mda mfupi, maana neno Love halirudishiki nyuma.
Usiniulize kwa Kiswahili tofauti ya LIKE na LOVE ni ipi, siijui
Hahaha ila ni vizuri kujenga urafiki kabla hujatongoza...Duuuh...unachunguza kama takukuru bidada
Kama ni wako utampata.Wakati unajenga urafiki mara paaap...unawahiwa na mjamaa mwingine! !
Utamlaumu?
Ku like huwezi kuchukua muda,(kuvutiwa na mtu hakuhitaji mda sio?) Muda kwangu ni kwenye ku LoveMimi mwenyewe najua tofauti za LIKE na LOVE.
So sikuulizi. Ila kama utachukua mda mrefu ku like ina maana matendo ya ku LOVE utayanyaje?! Utajilazimisha?! Ni hapo shida inapokuja.!!
Oh...nimekupata pwenti yako.Ku like huwezi kuchukua muda,(kuvutiwa na mtu hakuhitaji mda sio?) Muda kwangu ni kwenye ku Love
Niki kulike nakuchukulia kama mshikaji tunakuwa tuna wasiliana kama marafiki tu.
Nikishaku Love hapo nakuwa kama nimekumilikisha nafsi yangu nasiwezi kufanya vitu bila kufikiria impact nitakayokupa, ndio maana inachukua mda, mtu anakuwa ameshaubalina na yale yote uliyonayo, pamoja na mapungufu
Hahah....mangatara sasa huo uchokozi.Hicho kitanda kinaonesha kuwa anayekilalia na kukitunza lazima awe mnyanyasaji na mbishoo sna. Unaweza ambiwa uvulie nguo barabarani. Ndo maana wanakukimbia kwanza ila wakiona kumbe hata nanii umemtongoza wanashangaa tu