Wanawake wanapata wapi ujasiri wa kutongoza?

Wanawake wanapata wapi ujasiri wa kutongoza?

ahahahaha mkuu mjr95 mwaka mpya huu kaka walau na wewe ubadilike kidogo. Uache vi majibu vya mkato mkato kaka style hio tumeizoea sana.
 
Kwahiyo = Kaka hebu simama nataka kuongea na wewe,unaitwa nani?unakaa wapi?kilasiku nakuona ukipita huwa moyo wangu unatamani japo nipate muda wakuongea nawe,sasa naweza baadae nikapata muda wa kukaa nawe sahemu tulivu japo tuongee mawili matatu ,duh Lidada hilo linamwaga seraaaa
usilale hapo no uzembe
 
Mimi nasubiri mwanamke anitongoze but siijuh wapo na play girl
 
kwanini ufe na dukuduku rohoni unamchombeza tu akikataa si basi
 
Back
Top Bottom