madia madia
JF-Expert Member
- Sep 30, 2017
- 717
- 701
Mmmh ushaanza Du?Ngj nije pm nikutongozeee
Mmmh ushaanza Du?Ngj nije pm nikutongozeee



Majibu yako unapewa hapohapoWala humwambii nipe muda nifikirie
Ujasiri unauzwa Kariakoo sokoni,Wakuu habari zenu
Inakuwaje baadh ya wanawake wanatongoza wanaume?
Ujasiri wa namna hiyo wanapata wapi?
Haya mambo bado yapo duniani ?Raha mwanaume utongoze bwana,mtoto alambe lips kidogo,achimbe chimbe chini,Mara sitakii ila ntakufikiria,jibu lako ntakupa kesho ila umenivutia![]()
Utawekwa hadharani shauri lakoNgj nije pm nikutongozeee
Wanawake nao wanapenda acha mambo yako ya kizamani hakuna kitu napenda kama demu kunitongozaWakuu habari zenu
Inakuwaje baadh ya wanawake wanatongoza wanaume?
Ujasiri wa namna hiyo wanapata wapi?
Wakuu habari zenu
Inakuwaje baadh ya wanawake wanatongoza wanaume?
Ujasiri wa namna hiyo wanapata wapi?
Ujasiri wao unatokana na Savannah, K-Vant, Safari, Konyagi G Bapa,na Kuwa Nyuma ya Mtandao, Mwanamke hawezi kukutongoza hadharai yaani ana kwa ana ila atakutongoza kwa kutumia whatsapp na ataanza kukusifia huku akikutumia ma video ya ngono ...... Mimi nimeshatongozwa sanaWakuu habari zenu
Inakuwaje baadh ya wanawake wanatongoza wanaume?
Ujasiri wa namna hiyo wanapata wapi?
Chapa ilaleWanautoa unako toa ww
Nitakuja malaika ninyweee savana nione kama nitakutongozaaaaaUjasiri wao unatokana na Savannah, K-Vant, Safari, Konyagi G Bapa,na Kuwa Nyuma ya Mtandao, Mwanamke hawezi kukutongoza hadharai yaani ana kwa ana ila atakutongoza kwa kutumia whatsapp na ataanza kukusifia huku akikutumia ma video ya ngono ...... Mimi nimeshatongozwa sana




Ndio saivi 50/50Demissunataka kumtongoza mtu!!
![]()
ila nataka nikutongoze,, niandikie pm basi kipenziHii ni ya mkuzi
Tatizo wewe hueleweki ... Ukiwa JF unasema upo Malaika ila ukiwa Dodoma husemi.. Pia siku hizi Malaika imepoteza hadhi ya Mimi kwenda kuna Malaya wengi pale wanaoijuza kwa hiyo Mtu ukienda pale huchelewi kumlikwa kuwa umefuata Malaya.. Wanawake wanajipanga huku kwenye Magari ukitoka tu unakuta Wanakufuata kukuuzia... Sasa huwa tunakwepa hiyo aibu... Nitafute PMNitakuja malaika ninyweee savana nione kama nitakutongozaaaaa![]()
Mm nataka nimtongoze mtoa madaila nataka nikutongoze,, niandikie pm basi kipenzi