M mawazobinafsi Member Joined Aug 15, 2014 Posts 44 Reaction score 14 Oct 31, 2014 #81 miss chagga said: sisi ambao neema ya allah katuwekea kidogo kwa kweli tuendelee kujibana na visuruali ili ile neema ionekane.... .. wengine tukivaa madera tunakuwa kama tumetundika nguo kwenye hanger Click to expand... Wengine Sisi washabiki wa Neema ndogondogo maana kubwakubwa uvivu mwingi
miss chagga said: sisi ambao neema ya allah katuwekea kidogo kwa kweli tuendelee kujibana na visuruali ili ile neema ionekane.... .. wengine tukivaa madera tunakuwa kama tumetundika nguo kwenye hanger Click to expand... Wengine Sisi washabiki wa Neema ndogondogo maana kubwakubwa uvivu mwingi
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Oct 31, 2014 #82 mawazobinafsi said: Wengine Sisi washabiki wa Neema ndogondogo maana kubwakubwa uvivu mwingi Click to expand... Aiseekwa hiyo hii neema.ndogo nivalishe dera?
mawazobinafsi said: Wengine Sisi washabiki wa Neema ndogondogo maana kubwakubwa uvivu mwingi Click to expand... Aiseekwa hiyo hii neema.ndogo nivalishe dera?
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Oct 31, 2014 #83 mkabasia said: Hahahahahahahahahahaha, tungejaliwa wote nani angemuheshimu mwenzie. Click to expand... Hapo chacha dharau nje nje kineema kangu chatosha kwenye skin
mkabasia said: Hahahahahahahahahahaha, tungejaliwa wote nani angemuheshimu mwenzie. Click to expand... Hapo chacha dharau nje nje kineema kangu chatosha kwenye skin
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Oct 31, 2014 #84 luckyline said: kweli tuendelee kuva vigauni vyetu na sisi waone uumbaji mtoto mguu utafikir niliongea na mungu ahaaaa wa madila wanaficha vumiguu kama sindano Click to expand... Khaa we naye majungu miguu Twaificha na suruali
luckyline said: kweli tuendelee kuva vigauni vyetu na sisi waone uumbaji mtoto mguu utafikir niliongea na mungu ahaaaa wa madila wanaficha vumiguu kama sindano Click to expand... Khaa we naye majungu miguu Twaificha na suruali
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Oct 31, 2014 #85 Judgement said: miss chagga si unitonye hiyo mikochi ni ya? Hebu ntoe ushamba! Click to expand... Kujificha naona aibu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Judgement said: miss chagga si unitonye hiyo mikochi ni ya? Hebu ntoe ushamba! Click to expand... Kujificha naona aibu
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Oct 31, 2014 #86 Chuma Chakavu said: hapana vaa dira linalokufit sio oversize! Click to expand... Likinifit nakiwa kama funguo ni balaaaa
Chuma Chakavu said: hapana vaa dira linalokufit sio oversize! Click to expand... Likinifit nakiwa kama funguo ni balaaaa
luckyline JF-Expert Member Joined Aug 29, 2014 Posts 15,153 Reaction score 21,788 Oct 31, 2014 #87 miss chagga said: Khaa we naye majungu miguu Twaificha na suruali Click to expand... nifiche ya nn sasa? mwendo wa min aiseee
miss chagga said: Khaa we naye majungu miguu Twaificha na suruali Click to expand... nifiche ya nn sasa? mwendo wa min aiseee
BAK JF-Expert Member Joined Feb 11, 2007 Posts 124,769 Reaction score 288,283 Oct 31, 2014 #88 lol! kwi kwi kwi kwi hili si la kawaida everlenk, ni lazima liwe la mchina. everlenk said: Kama hutojali nisaidie na hitaji langu hapo..... Click to expand... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
lol! kwi kwi kwi kwi hili si la kawaida everlenk, ni lazima liwe la mchina. everlenk said: Kama hutojali nisaidie na hitaji langu hapo..... Click to expand...
K kamagetac JF-Expert Member Joined Jul 25, 2014 Posts 2,479 Reaction score 644 Nov 1, 2014 #91 kilambalambila said: weng wanaovaa madila ndan huwa wamevaa nguo za ajabuajabu. Zmechanika au chafuchafu. Click to expand... Hahaaaaaa!!!!
kilambalambila said: weng wanaovaa madila ndan huwa wamevaa nguo za ajabuajabu. Zmechanika au chafuchafu. Click to expand... Hahaaaaaa!!!!
K kamagetac JF-Expert Member Joined Jul 25, 2014 Posts 2,479 Reaction score 644 Nov 1, 2014 #93 Binafsi dera kwangu marufuku,taiti mtindo mmoja flat screen haiwezi kaa kwenye dera!!!!
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Nov 1, 2014 #94 BAK said: lol! kwi kwi kwi kwi hili si la kawaida everlenk, ni lazima liwe la mchina. Click to expand... Hahaha!! Kitu original hicho nipatie bas hiyo kazi basi Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
BAK said: lol! kwi kwi kwi kwi hili si la kawaida everlenk, ni lazima liwe la mchina. Click to expand... Hahaha!! Kitu original hicho nipatie bas hiyo kazi basi
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,838 Nov 1, 2014 #95 Dira halimtupi mtu maana hata sie vimbau mbau tunapendeza
BAK JF-Expert Member Joined Feb 11, 2007 Posts 124,769 Reaction score 288,283 Nov 1, 2014 #96 Angalia kama huyu, kapendeza. serio said: View attachment 198077 Click to expand...
BAK JF-Expert Member Joined Feb 11, 2007 Posts 124,769 Reaction score 288,283 Nov 1, 2014 #97 Hmmmm! Huyu kavaa kitu everlenk ili kuzidisha ukubwa. everlenk said: Hahaha!! Kitu original hicho nipatie bas hiyo kazi basi Click to expand... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Hmmmm! Huyu kavaa kitu everlenk ili kuzidisha ukubwa. everlenk said: Hahaha!! Kitu original hicho nipatie bas hiyo kazi basi Click to expand...
Matege JF-Expert Member Joined Dec 7, 2013 Posts 1,476 Reaction score 648 Nov 1, 2014 #98 na hii pasi ya kichaga madira yapite hiviiii... ili neema zangu zionekane basi na mie nitaendelea kutinga suruali tu.
na hii pasi ya kichaga madira yapite hiviiii... ili neema zangu zionekane basi na mie nitaendelea kutinga suruali tu.
Foundation JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 1,420 Reaction score 611 Nov 1, 2014 #99 Pasco said: Watu wengine achana nao, akimjua tuu, anamuita kimoyo moyo, wewe hata msibani utaagwa!, usifanye masikhara!. Pasco Click to expand... Kumuita kimoyo moyo kukoje huko?
Pasco said: Watu wengine achana nao, akimjua tuu, anamuita kimoyo moyo, wewe hata msibani utaagwa!, usifanye masikhara!. Pasco Click to expand... Kumuita kimoyo moyo kukoje huko?
Foundation JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 1,420 Reaction score 611 Nov 1, 2014 #100 Dira linampendeza mwanamke mwenye nyama nyama tu, hasa awe na SECTION B iliyotepeta utapenda tu akiwa anatembea
Dira linampendeza mwanamke mwenye nyama nyama tu, hasa awe na SECTION B iliyotepeta utapenda tu akiwa anatembea