wanawake wanaolalamika wanaume ni waongo

wanawake wanaolalamika wanaume ni waongo

Kama ipo ipo tu, watu wanaolewa hata hawajawahi fika getoni
 
Ni kazi zetu ndio subiri unioe kwanza nitazifanya ni wajibu wangu
Haaaaa si unaanza na maaribio kwanza af siku hiz hatutaki kuuziwa mbuz kwenye gunia et mkuu unakuta umeoa unajua ni mwanamke kumbe mpk rang kuchaaaa tu hata dekio kushika hajui sa si mzigo huo wa mavi
 
Majaribio ili iweje unifuje weeh kukufanyia makazi mwisho wa siku unaniacha unaoa mwingine kama umepangwa kuwa mume wangu utakuwa tu hata nisipokufulia au kukufanyia usafi
Haaaaa si unaanza na maaribio kwanza af siku hiz hatutaki kuuziwa mbuz kwenye gunia et mkuu unakuta umeoa unajua ni mwanamke kumbe mpk rang kuchaaaa tu hata dekio kushika hajui sa si mzigo huo wa mavi
 
Majaribio ili iweje unifuje weeh kukufanyia makazi mwisho wa siku unaniacha unaoa mwingine kama umepangwa kuwa mume wangu utakuwa tu hata nisipokufulia au kukufanyia usafi
Af kwanza zama hizi watu tunajiolea tuuu bila shida ndo ndoa hiyoooo ww sema ukizingua talaka yako ni titifotati no mikaratas maisha siku hizi iziii simpoooo sana mkuu nyie acheni tuwagegede tuu na kufua mtafua tuuuu
 
Mwanamke kutwa unalalamika wanaume waongo kwenye mapenzi wakikutumia tu wanasepa, huna hata akili ya kufikilia kwann kwako wagonge wasepe hawaingii ndani?

Na daily unahudhuria harusi za wasichana wenzio wakiolewa? Au wao wanaolewa namajini eti?


hii dhana kujiona watoto wa mjini, wanawake wa kisasa sijui, basi ndo mnakuwa kama makuku ya kisasa kweli hamfai kwa kufugwa shida tupu!! Maana makuku ya kisasa ukitaka kuyafuga basi ujipange kweli kweli kuanzia mtaji wa kipesa hadi muda wa kuyahudumia!! Ndo nyie sasa, yaani kiukweli wanawake wa sikuhizi hata radha mmeisha kabisa


We unataka mwanaume akuoe wakati hujawahi kujiongeza hata kusema umfulie, kazi kumsifia kapendeza hujui hata anafuliwa na nani?

Hujawahi hata kumpikia kazi kumsifia ananenepa hujui hata anakula wapi, halafu unataka ndoa?

kila siku ukienda gheto kwake we kazi kuulizia series za kikorea kama kaleta mpya, huulizi hata Leo unanunua mboga gani nije kukupikia, mwanamke mzima bila haya unaenda kwa bwana wako unafika unalia njaa halafu unamuagiza kabisa akakununulie chips kuku! Halafu unataka atoe posa kwenu?? Kazi mnayoijua ni kuomba omba hela tu utazani watoza ushuru wa manispaa?

Mkifulia Ndo mnajifanya kusema "Bby nimekumiss nataka nije leo"

kumbe pesa Ndo inayokupeleka, mkishafumuliwa fasta mnaomba nauli na hela ya kula hata kukumbuka kutoa shuka utandike nyingine huna mda huo, tunawajua Sana ila tunawatazama tu mnajiona wajaanja kumbe mnajishusha wenyewe,

haya mambo mnayaona ya kipuuzi lakini ndo uchawi kwa mwanaume ajue thamani yako, asifikirie kukupoteza hata siku moja, sasa nyie endeleeni tu kufuata hela, mnaenda kwa wanaume mmejikoki sado
lin za rangi mdomoni, machoni mpaka mtu anashindwa kukukiss! Umefuga makucha utazani visu vya kukeketea??

sijui hata mnasafishaje maumbile yenu, unakuta unang'aa usoni utazani duka la wahindi lakini ndani unatoa uvundo aisee mtalalamika Sana nawaambia, wanaume Ndo sisi mnaotuletea nyodo Ndo tunapaswa kuwaoa, tutawanyoosha mpaka mjute kuzaliwa!


Pendeni hela tuwazeeshe
To remind you; "utampata wa kufanana nawe!"
 
Mwanamke kutwa unalalamika wanaume waongo kwenye mapenzi wakikutumia tu wanasepa, huna hata akili ya kufikilia kwann kwako wagonge wasepe hawaingii ndani?

Na daily unahudhuria harusi za wasichana wenzio wakiolewa? Au wao wanaolewa namajini eti?


hii dhana kujiona watoto wa mjini, wanawake wa kisasa sijui, basi ndo mnakuwa kama makuku ya kisasa kweli hamfai kwa kufugwa shida tupu!! Maana makuku ya kisasa ukitaka kuyafuga basi ujipange kweli kweli kuanzia mtaji wa kipesa hadi muda wa kuyahudumia!! Ndo nyie sasa, yaani kiukweli wanawake wa sikuhizi hata radha mmeisha kabisa


We unataka mwanaume akuoe wakati hujawahi kujiongeza hata kusema umfulie, kazi kumsifia kapendeza hujui hata anafuliwa na nani?

Hujawahi hata kumpikia kazi kumsifia ananenepa hujui hata anakula wapi, halafu unataka ndoa?

kila siku ukienda gheto kwake we kazi kuulizia series za kikorea kama kaleta mpya, huulizi hata Leo unanunua mboga gani nije kukupikia, mwanamke mzima bila haya unaenda kwa bwana wako unafika unalia njaa halafu unamuagiza kabisa akakununulie chips kuku! Halafu unataka atoe posa kwenu?? Kazi mnayoijua ni kuomba omba hela tu utazani watoza ushuru wa manispaa?

Mkifulia Ndo mnajifanya kusema "Bby nimekumiss nataka nije leo"

kumbe pesa Ndo inayokupeleka, mkishafumuliwa fasta mnaomba nauli na hela ya kula hata kukumbuka kutoa shuka utandike nyingine huna mda huo, tunawajua Sana ila tunawatazama tu mnajiona wajaanja kumbe mnajishusha wenyewe,

haya mambo mnayaona ya kipuuzi lakini ndo uchawi kwa mwanaume ajue thamani yako, asifikirie kukupoteza hata siku moja, sasa nyie endeleeni tu kufuata hela, mnaenda kwa wanaume mmejikoki sado
lin za rangi mdomoni, machoni mpaka mtu anashindwa kukukiss! Umefuga makucha utazani visu vya kukeketea??

sijui hata mnasafishaje maumbile yenu, unakuta unang'aa usoni utazani duka la wahindi lakini ndani unatoa uvundo aisee mtalalamika Sana nawaambia, wanaume Ndo sisi mnaotuletea nyodo Ndo tunapaswa kuwaoa, tutawanyoosha mpaka mjute kuzaliwa!


Pendeni hela tuwazeeshe
Nenda vijijini huko bado wako mkuu ukitoa mahali laki 5 basi hamna gharama
 
Watafua hao mnaowapata mkuu mahouse gal wenu
Af kwanza zama hizi watu tunajiolea tuuu bila shida ndo ndoa hiyoooo ww sema ukizingua talaka yako ni titifotati no mikaratas maisha siku hizi iziii simpoooo sana mkuu nyie acheni tuwagegede tuu na kufua mtafua tuuuu
 
Sio shunie mm mkuu mm nitafanya yote hayo nikiingia kwenye ndoa ni wajibu wangu

Sijui lini utanioa nianze kuwa house gal wako hapana aisee huruma hiyo sina
Af ww ulitkiwa uwe haus gal wang mkuu tufanye experiment km vip[emoji3]
 
Sio shunie mm mkuu mm nitafanya yote hayo nikiingia kwenye ndoa ni wajibu wangu

Sijui lini utanioa nianze kuwa house gal wako hapana aisee huruma hiyo sina
Sa si ndio tunahararisha hapa jf mkuu mdogo mdogo mwisho tunatoboa et[emoji3][emoji3][emoji3] af najarib kukupm sipat connection why nataka nikulishe ubuyu wa sato hahahaha
 
Pm situmii mkuu nimeifunga we ni msukuma eenh ubuyu wa sato ndio nn au samaki wa sato
Sa si ndio tunahararisha hapa jf mkuu mdogo mdogo mwisho tunatoboa et[emoji3][emoji3][emoji3] af najarib kukupm sipat connection why nataka nikulishe ubuyu wa sato hahahaha
 
Pm situmii mkuu nimeifunga we ni msukuma eenh ubuyu wa sato ndio nn au samaki wa sato
Acha mambo yako sa ndo nn kufunga pm bhana au usumbufu umekua mwingi na hiv umewapa mgongo mashallah..... bas tena sikup ubuyu mkuu nimeghair ngoja nilambe mwenyewe
 
Back
Top Bottom