wanawake wanaolalamika wanaume ni waongo

wanawake wanaolalamika wanaume ni waongo

Wala msijistress.

Wao wakae miguu juu wanezowea kufuliwa makwao.

Wakipata madem miguu juu wanapiga maji ama wapo vijiweni na washkaji nyie mpo ndani mnaanza majukumu ya ndoa mapemaaaa.

Mpaka mnafika kwenye hizo ndoa hakuna jipya. Mshajichokeaaaaa.

Hebu jipumzisheni na nyie watoto wazuri.
Ndio mana mm sitaki kujichosha unataka kufanyiwa hayo makazi ajili house gal afanye kama umepangiwa utakuwa mume wangu utakuwa tu
 
Wala msijistress.

Wao wakae miguu juu wanezowea kufuliwa makwao.

Wakipata madem miguu juu wanapiga maji ama wapo vijiweni na washkaji nyie mpo ndani mnaanza majukumu ya ndoa mapemaaaa.

Mpaka mnafika kwenye hizo ndoa hakuna jipya. Mshajichokeaaaaa.

Hebu jipumzisheni na nyie watoto wazuri.
Mngh!
 
Girls, don't let such threads weigh your hearts down.

Mkaona ndoa ngumu sana kuipata. Mpaka muende ghetto mkawajibishwe kwa kufua, kusafisha, kupika na kuliwa juu.🙄🙄🙄

Taratibu na nyie wanaume.

Shubaaaamiiiit.😛😛😛

naonaaa unawapozaa pozaa na kuwatia moyo..kwakuwa wewe labda tayari upo kwa ndoa...

Lakini wakumbuke kuwa kuna ushindani upo..
 
naonaaa unawapozaa pozaa na kuwatia moyo..kwakuwa wewe labda tayari upo kwa ndoa...

Lakini wakumbuke kuwa kuna ushindani upo..

Bahati nzuri nipo kwenye ndoa, na sikufika hapa kwa kutumika.

There will always be different kinds of women.

But main groups ni mbili. The submissive ones and the hard headed ones.

I am in the second group honey. Acha watuite career ladies but once you know how to strike the balance mambo ni bien.

Hata kama ni kuwa wanyenyekevu a woman has to know her limits. She should never put her pride and dignity at stake especially for a man who is not even committed to her.

Hata kwao hujulikani.😱😱
 
Yaani maneno yoote hayo kumbe ujumbe ni pesa!!!!
NA BADO!
 
Mwanamke akifanya yote hayo unayohitaji kufua na mengineyo unamwambia atakae muoa atapata raha sana kwa maana ya kuwa wewe si muoaji..

na ndio maana madada wengi wamebadilika.
 
Mkuu sio wote lazima tuolewe wengine acha tucheze kwaito za wenzetu

Nijitume we nikufulie nikufanyie usafi nikupikie mwisho wa siku unaniacha house gal wako unaoa mwingine mwanaume muoaji anaonekana tu [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kufua hatufui na pesa watatoa tu.
 
Mkuu sio wote lazima tuolewe wengine acha tucheze kwaito za wenzetu

Nijitume we nikufulie nikufanyie usafi nikupikie mwisho wa siku unaniacha house gal wako unaoa mwingine mwanaume muoaji anaonekana tu [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]lkn si ndio kazi zenu jaman mkuu
 
Bahati nzuri nipo kwenye ndoa, na sikufika hapa kwa kutumika.

There will always be different kinds of women.

But main groups ni mbili. The submissive ones and the hard headed ones.

I am in the second group honey. Acha watuite career ladies but once you know how to strike the balance mambo ni bier.

Hata kama ni kuwa wanyenyekevu a woman has to know her limits. She should never put her pride and dignity at stake especially for a man who is not even committed to her.

Hata kwao hujulikani.😱😱
Leo umenikuna[emoji109] [emoji109] [emoji109]
 
Back
Top Bottom