Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
- Thread starter
- #101
Kiru ππππ waendelee ku-PAMBANA sio?!Acha wajenge uchumi nchi wa kati maana mitaji walipewa na Mungu ata kutumia nako kuwe shida.
Pisi za buza, kinondoni, tabata, sinza, temeke, chapeni kazi nchi yetu inaenda pazuri msitishwe na maneno ya mabeberu.