Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
- #61
Jeuri hio unayo?!Mamaaaeee... Me hapo pangechimbika... Ni mgegedoo tuu kwa
woootee waliii....
Jeuri hio unayo?!Mamaaaeee... Me hapo pangechimbika... Ni mgegedoo tuu kwa
woootee waliii....
Wamefanyaje kwani?! Tupe sababuAchana na mwanamke wa sinza kaka utanishukuru badae
Mume wangu na sinza vinaendaje sasa?!naogopa kukuwekea orodha mumeo anaweza kuwa mmoja wao.
Uuuwi mbona ndoa nyingi sahivi NI mademu WA tabata wanaolewa?!Huko kote we piga mbupu tu utembee. Usiweke kambi.
We unaishi sinza?!Maisha yenyewe sinza ni ya anasa sana, pombe full time wanasema ndani ni joto hivyo wanashinda vijiwe vya pombe muda mwingi.
Hakuna mwanamke au mwanaume wa mtu mmoja sinza.
Kwa we haupendi??Wanapenda ngono sana,
Buza huko sio??Ndomaana wengine tunatafutaga maduu kwarulenge
Uuuwi🏃🏃🏃🏃🏃🏃🙆Yaani bora ninunue sabuni kuliko mademu wa sinza
Tabata je?!🚶🚶🚶🚶Sinza,kinondoni, na buza..hiyo mitaa sijawahi kuikubali..
Nilisema "mbunye za sinza zimechakatwa sana" ukauliza "zimechakatwa na nani?" nikakwambia "naogopa kuweka orodha ya wachakataji usije kuta na jina la mumeo lipo kwenye orodha"Mume wangu na sinza vinaendaje sasa?!
Huna prove bwana wapishe wenye prove zao
Buza huko sio??
Na wewe unaishi sinza?! 🙄
Kwa akili zangu za haraka nikisikisia story za mapenzi kuhusu Sinza naona ni kama issue ya biashara tu kama biashara zingineJamaa yangu anaishi Msakuzi alipata demu sinza,amepanga chumba masta. Siku moja anaenda kwa demu wake akapokelewa vizuri tu akakaribishwa ndani. Baada ya muda kidogo akaingia jamaa ...anafahamiana na dem ni swahiba wake. Mara kidogo, dem akamuomba jamaa watoke nje kidogo yule jamaa anataka kuoga ....
Wakatoka. Mshkaji kapigwa butwaa haelewi elewi. Baada ya dakika kadhaa jamaa kamaliza kuoga akapiga simu warudi tu ndani. Wakaingia. Wakakuta jamaa keshaoga amevaa anamalizia kujipodoa kageukia dressing table. Jamaa akakaa kitandani na dem wake....wanaendeleza stori yao.
Jamaa kashika wanja na chanuo mkono mwingine kamgeukia jamaa anamuomba radhi kwa usumbufu "shem samahani kwa usumbufu..." jamaa kabaki katoa macho, anashangaa mwanaume kashika wanja. Kamaliza kupaka, kaondoka.
Badae demu kamuomba radhi mshkaji na anamwambia isimsumbue yule sio bwana wake....kwanza ni "shoga" tu. Alikua anaishi na Bwana wake Mwananyamala wamekorofisha; anaishi kwa muda pale na demu wa mshikaji.
Mambo ya Sinza.
Subiri mbunge wako atakueleza vzr wakati wa Kampeni....Samahani mkuu....
Hiyo Sinza ipo maeneo gani hapa Ushirombo?
Samahani mkuu, hata huyo unae muita MB wangu sijawahi kumfahamu pia. Na bahati mbaya sana sijawahi hata kutamani kutamani kupiga kura na kipigia kura sina hataSubiri mbunge wako atakueleza vzr wakati wa Kampeni....
Hiii[emoji38][emoji38][emoji38]Jamaa yangu anaishi Msakuzi alipata demu sinza,amepanga chumba masta. Siku moja anaenda kwa demu wake akapokelewa vizuri tu akakaribishwa ndani. Baada ya muda kidogo akaingia jamaa ...anafahamiana na dem ni swahiba wake. Mara kidogo, dem akamuomba jamaa watoke nje kidogo yule jamaa anataka kuoga ....
Wakatoka. Mshkaji kapigwa butwaa haelewi elewi. Baada ya dakika kadhaa jamaa kamaliza kuoga akapiga simu warudi tu ndani. Wakaingia. Wakakuta jamaa keshaoga amevaa anamalizia kujipodoa kageukia dressing table. Jamaa akakaa kitandani na dem wake....wanaendeleza stori yao.
Jamaa kashika wanja na chanuo mkono mwingine kamgeukia jamaa anamuomba radhi kwa usumbufu "shem samahani kwa usumbufu..." jamaa kabaki katoa macho, anashangaa mwanaume kashika wanja. Kamaliza kupaka, kaondoka.
Badae demu kamuomba radhi mshkaji na anamwambia isimsumbue yule sio bwana wake....kwanza ni "shoga" tu. Alikua anaishi na Bwana wake Mwananyamala wamekorofisha; anaishi kwa muda pale na demu wa mshikaji.
Mambo ya Sinza.
We taja Tu orodha ya majina Acha kuogopa ogopa unaogopa nini sasa?!Nilisema "mbunye za sinza zimechakatwa sana" ukauliza "zimechakatwa na nani?" nikakwambia "naogopa kuweka orodha ya wachakataji usije kuta na jina la mumeo lipo kwenye orodha"
Nakushangaa unapouliza swali eti mumeo na sinza vinaendanaje!!!