Wanawake wanaoishi Sinza wana shida gani?

Wanawake wanaoishi Sinza wana shida gani?

Jamaa yangu anaishi Msakuzi alipata demu sinza,amepanga chumba masta. Siku moja anaenda kwa demu wake akapokelewa vizuri tu akakaribishwa ndani. Baada ya muda kidogo akaingia jamaa ...anafahamiana na dem ni swahiba wake. Mara kidogo, dem akamuomba jamaa watoke nje kidogo yule jamaa anataka kuoga ....

Wakatoka. Mshkaji kapigwa butwaa haelewi elewi. Baada ya dakika kadhaa jamaa kamaliza kuoga akapiga simu warudi tu ndani. Wakaingia. Wakakuta jamaa keshaoga amevaa anamalizia kujipodoa kageukia dressing table. Jamaa akakaa kitandani na dem wake....wanaendeleza stori yao.

Jamaa kashika wanja na chanuo mkono mwingine kamgeukia jamaa anamuomba radhi kwa usumbufu "shem samahani kwa usumbufu..." jamaa kabaki katoa macho, anashangaa mwanaume kashika wanja. Kamaliza kupaka, kaondoka.

Badae demu kamuomba radhi mshkaji na anamwambia isimsumbue yule sio bwana wake....kwanza ni "shoga" tu. Alikua anaishi na Bwana wake Mwananyamala wamekorofisha; anaishi kwa muda pale na demu wa mshikaji.

Mambo ya Sinza.
Mamaaaeee... Me hapo pangechimbika... Ni mgegedoo tuu kwa
woootee waliii....
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Maisha yenyewe sinza ni ya anasa sana, pombe full time wanasema ndani ni joto hivyo wanashinda vijiwe vya pombe muda mwingi.

Hakuna mwanamke au mwanaume wa mtu mmoja sinza.
 
Jana tukiwa kwenye foleni zetu za Dar kurudi nyumbani, mmoja ya mshikaji wangu akatuambia amepata mpenzi. Tukamfurahia na nini, tukamwuliza anaishi wapi, akasema anaishi SINZA[emoji849]

Wenzangu 4 kwenye gari wakaanza kuwaka na kuguna "Dah! Mwanamke wa Sinza achana naye, hafai. Pale huna mwanamke" na malalamiko mengi

Mimi nikawauliza "kwani mdada akiishi sinza kuna shida gani?" Kila MTU akaanza kucheka kasoro mwenye mpenzi[emoji124]

Jamani wadau huku embu mnijuze, kwani mwanamke akiishi Sinza kuna shida gani? Wewe ukimpata mwanamke anaeishi Sinza utamkataa?
Ndomaana wengine tunatafutaga maduu kwarulenge
 
Na wanawake mtatufelishia jamii yetu kama mlivyotufelisha pale bustani ya Eden sababu ya mambo yenu ya kipuuzi.

Sasa mnaongea na mashoga mtakuja kustuka chochote siku mkisikia watoto wenu wa kiume wamekuwa mashoga?!

Niliiona hii kitu kwa hadija kopa na ndipo pale nikaona kweli ukitaka kufelisha taifa then mpe uhuru wa maamuzi mwanamke!
Hadija kopa ana rafiki shoga au?? 🙄
 
Tabata kuna malaya wengi kuliko hata Sinza worse enough age range ni 18 up to 30.

Mimi binti akiniambia anakaa Tabata au Sinza hata kutongoza naahirisha.
Yesu wangu 🏃🏃🏃🏃
 
Hiy
Jamaa yangu anaishi Msakuzi alipata demu sinza,amepanga chumba masta. Siku moja anaenda kwa demu wake akapokelewa vizuri tu akakaribishwa ndani. Baada ya muda kidogo akaingia jamaa ...anafahamiana na dem ni swahiba wake. Mara kidogo, dem akamuomba jamaa watoke nje kidogo yule jamaa anataka kuoga ....

Wakatoka. Mshkaji kapigwa butwaa haelewi elewi. Baada ya dakika kadhaa jamaa kamaliza kuoga akapiga simu warudi tu ndani. Wakaingia. Wakakuta jamaa keshaoga amevaa anamalizia kujipodoa kageukia dressing table. Jamaa akakaa kitandani na dem wake....wanaendeleza stori yao.

Jamaa kashika wanja na chanuo mkono mwingine kamgeukia jamaa anamuomba radhi kwa usumbufu "shem samahani kwa usumbufu..." jamaa kabaki katoa macho, anashangaa mwanaume kashika wanja. Kamaliza kupaka, kaondoka.

Badae demu kamuomba radhi mshkaji na anamwambia isimsumbue yule sio bwana wake....kwanza ni "shoga" tu. Alikua anaishi na Bwana wake Mwananyamala wamekorofisha; anaishi kwa muda pale na demu wa mshikaji.

Mambo ya Sinza.
[/QUOTE huyo jamaa kaingizwa mjini, yule jamaa siyo shoga wala nini ila alikua anakula mambo kwa huyo mwanamke, sasa kwa sababu kafumaniwa kaamua atumie huo ujanja!!
Mjini shule....
 
Asilimia kubwa ya wanawake Wa sinza wanaunga mkono kaulimbiu ya muheshimiwa ya hapa kazi tu , sema mitaji yao wanatembea nayo muda wote, na biashara yao inafanana na hawalipi kodi.
Kiru 🏃🏃🏃🏃🏃
 
Samahani niko nje kidogo ya mada hivi shoga akifika kileleni huwa anaharisha?..Samahani kama nitakuwa nimewakwaza lakini[emoji848]
We NI profesa WA mashoga au mtafiti?!😂😂
 
Back
Top Bottom