Wanawake wanaoenda GYM

Wanawake wanaoenda GYM

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
748
Reaction score
789
Wakuuu habari za weekend.

Ndugu zangu kumekuwa na mawazo potofu wanawake wote WANAOENDA gym wanaliwa.

Wakuuu sikatai wanaoliwa wapo hapo ni asilimia 0.01 na wanaliwa na trainer kwa utafiti wangu .Mimi ni mtu wa mazoezi naelewa.

Wakuuu nitoe angalizo msicheze na Dem anaenda gym anaweza kukukunja ww ambaye zoezi lako ni ukila ukishiba unaenda chumba Cha pili kupunguza uzito .

Binafsi nawapongeza wanajutuma sana gym but sijawahi kiwatongoza Mimi huenda kupiga tizi na kusepa.
 
Hao trainer wana nini cha ziada cha kula mtu? Unakuta trainer mwenyewe ananuka mdomo


Hebu mtuache wanawake, ndo mnafanya wanawake wanakosa uhuru wa kufanya mambo yao sababu kila kitu kinahusishwa na ngono,

Ina maana wanawake hatuna control na miili yetu siyo?
Idiot🚮🚮
 
Hao trainer wana nini cha ziada cha kula mtu? Unakuta trainer mwenyewe ananuka mdomo


Hebu mtuache wanawake, ndo mnafanya wanawake wanakosa uhuru wa kufanya mambo yao sababu kila kitu kinahusishwa na ngono,

Ina maana wanawake hatuna control na miili yetu siyo?
Idiot🚮🚮
Hahahah ww nimeamini mtu wa mazoezi na mwanaume mzembe unamkunja
 
Siwez mkunja mwanaume naheshimu sana uwepo wa mwanaume kwenye maisha ilaa kuona kila mwanamke anaeenda gym analiwa na trainer?

Huwa ni mentality ya kipumbavu kuwahi kutokea
Hahaha but wapo wanaliwa
 
Kuna vitu vya kujadili vingi sana
Sehemu zote za muingiliano wa watu wajinsia tofauti mambo hayo yapo
Kwahiyo mjadala wenu hauna maana
Ni mtu na utashi wake na siyo kosa
 
Hao trainer wana nini cha ziada cha kula mtu? Unakuta trainer mwenyewe ananuka mdomo


Hebu mtuache wanawake, ndo mnafanya wanawake wanakosa uhuru wa kufanya mambo yao sababu kila kitu kinahusishwa na ngono,

Ina maana wanawake hatuna control na miili yetu siyo?
Idiot🚮🚮
Bold that
 
Hao trainer wana nini cha ziada cha kula mtu? Unakuta trainer mwenyewe ananuka mdomo


Hebu mtuache wanawake, ndo mnafanya wanawake wanakosa uhuru wa kufanya mambo yao sababu kila kitu kinahusishwa na ngono,

Ina maana wanawake hatuna control na miili yetu siyo?
Idiot🚮🚮
Umejuaje kama ananuka mdomo alikupiga mate nini!

Au basi
 
Kuliwa ama umalaya ni hulka ya mtu !

Hata geti kali wanaliwa fresh tu !

Kikubwa mwanamke mwenyewe ajitambue tu bs
 
Kwenye mkusanyiko wa wengi basi pia hapakosekani mengi......hata hao watu wa mambo hayo wapo kama ambavyo wapo huko mitaani.....

Mimi binafsi mambo ya gym yamenishinda yale mavazi ya wale mabinti kwa kweli huwa yananitoa kwenye mazingatio hasa akiwa mbele yangu au pembeni yangu.......

Yamenishinda nimenunua baadhi ya vifaa nafanyia mazoezi nyumbani.....
 
Back
Top Bottom