Wanawake wananitumia kisha wanaondoka

Wanawake wananitumia kisha wanaondoka

Bei Rahisi Electronics

Senior Member
Joined
Apr 4, 2025
Posts
197
Reaction score
583
Wanawake wananitumia kisha wanaondoka kwa kweli roho yangu inauma nishalala na wanawake 18🥺🥺🥺 Nina miaka 24

Mara nyingi wanajirahisisha wakitak kuzaa na Mimi

Najichukia sana 😭 nimepoteza mda na rasilimali ningekua mbali kimaisha

Wakinifata nashindwa kukataa
Wadada wameniharibia maisha

Nina kazi nzuri Maendeleo 0😭
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom