Wanawake walioko kwenye 30s

Mimi Mwenyewe Huwa Nawapenda Sana Ile Mmekubaliana Mkutane Sehem Anavulia Kyupi Nyumbani Kwao, Sio Hawa Dogodogo Anakuja Amevaa Vyup Viwili, Tait, Mbili Suluali Kakaza Na Mkanda, Kaazima Na Katoto Ka Jirani Ndio Anakuja Et Unasemaje?

Hahaaaaaaaa
 
Kiukweeeli tuliopo above 30s tuko amaizng tofauti na umri wa chini na ndio maana wanaume wanatuogopa coz ukijua kujitambua ukawa msafi na kujua jusaka angalau vijichenchi vyako waaalaaaai midume enyewe inasitaa coz huna cha kukuzuzuaaa, kipi kipya ambacho hujawahi sikia au kuona chini ya jua???
 

Uuuuups nimekupenda bureee...mwaaaa yaani kama vile ni mie ulikuwa unanielezea!
 
30+ Wanajua wanachokitaka, wapi wakipate na wanakipata wakati gani...
 
Jitumbukize mikosi ikuandame, utaanza kula mihogo soon! Huoni everlenk kiranga chote kimemuisha, sahivi hata mb 8 tu za kuingia huku hana.


Uwiiii!!!! atoto mi nipo sana tu tena Sana tu si unajua ligi imeanza majeshi nimehamishia kule, mi na Eli79 hatuachani milele, Heaven Sent usiniambie Elli ni Msabato? Uwiiii tumekutana kimjini mjini na tunaishi kimjini mjini......duhh!!!!
 
Last edited by a moderator:
Uwiiii!!!! atoto mi nipo sana tu tena Sana tu si unajua ligi imeanza majeshi nimehamishia kule, mi na Elli79 hatuachani milele, Heaven Sent usiniambie Elli ni Msabato? Uwiiii tumekutana kimjini mjini na tunaishi kimjini mjini......duhh!!!!
Hahahhah naona baada ya kumsema ndo kaona aibu akakuungia bundle la jero ili tu mtuprove wrong hehhehehehe hatudanganyiki. wewe ulijua usmart wa mumeo ni wa bure, na kanisani hamuendagi au? By the way nilikumiss sana my dada, hope na kesho utakuwa na bundle
 
Last edited by a moderator:
Uwiiii!!!! atoto mi nipo sana tu tena Sana tu si unajua ligi imeanza majeshi nimehamishia kule, mi na Eli79 hatuachani milele, Heaven Sent usiniambie Elli ni Msabato? Uwiiii tumekutana kimjini mjini na tunaishi kimjini mjini......duhh!!!!

Yaani hata mume hujui anakosali!! Kweli hii ndoa iko mashakani, hongera naona uko katika safari ya matumaini kama yule mbabu.
 
Last edited by a moderator:

Alitoe wapi? Watasingizia sabato imeshaingia, yaani hiyo ni ile ya "machoni nacheka,moyoni nalia"
 
yaani ukiwa above 30 na uko single unajitambua hapo tutasonga mbele.najua nitapata maximum tulizo na ushauri juu
 
Alitoe wapi? Watasingizia sabato imeshaingia, yaani hiyo ni ile ya "machoni nacheka,moyoni nalia"

Kweli na wewe umeamua kunikaanga? Seriously?? Lakini bado nakupenda tu...
 
Uwiiii!!!! atoto mi nipo sana tu tena Sana tu si unajua ligi imeanza majeshi nimehamishia kule, mi na Eli79 hatuachani milele, Heaven Sent usiniambie Elli ni Msabato? Uwiiii tumekutana kimjini mjini na tunaishi kimjini mjini......duhh!!!!

I love you baby girl...dini sio ishu, ili mradi sambusa yangu unanipa tu..
 
Last edited by a moderator:

Nilisema nina mpango na wewe, lakini namuheshimu dada yako sana...
 
Mume wangu Eli79 ananiwekea bundle la mwezi tena la bila kikomo natumia mpaka basi, mume wangu habishani. Asante mdogo wangu nilikumiss mimi pia...
Yaani hata mume hujui anakosali!! Kweli hii ndoa iko mashakani, hongera naona uko katika safari ya matumaini kama yule mbabu.

Ndoa yetu ni ya mkataba kuna mambo ya muungano na kuna mambo ambayo si ya muungano,kama hili la kusali si la muungano.......lol
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…