Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Wanawake wachache sana wanaenda Bar kunywa bia na hela zao, weng wanapewa offer na wanaume, na ndio kugegedana huanzia hapo,.maana utaenda lipa fadhila tu kwa kutoa papuchi
Nyoooo kwan kunywa uenjoy unadhan inacost sh ngap?ngoja nisikujib..yaan mm nijinyanyue hom sina ht mia niende nikakake bar😂😂😂*****