financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,135
- 40,702
Pisi kali vipi mkuu?humu ndani kuna pisi kali wabeja
Pisi kali vipi mkuu?humu ndani kuna pisi kali wabeja
Sahihi kabisa.Psychological set up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
Na huo ni ukweli kiroho na kimwili hata hanithi huona aibu kutokuwa na mke sembuse shababi ?Tatizo kiafrika kuoa/olewa kunahesabika kama "mafanikio" katika maisha. Hata uwe na hela vipi, kama hujaoa/olewa bado watu watakuangalia kama mtu ulie feli maisha..! Unaonekana mhuni tu..
hiyo dp ni naniPisi kali vipi mkuu?
Ni kama hiyo dp yako , kwani ni nani huyo?hiyo dp ni nani
Unabahati yakwako haijafika 30,fanya basi tuutumie vizuri huo umriOo jaman!
Majibu yako yananifurahisha sanaNi kama hiyo dp yako , kwani ni nani huyo?
Uzi unachoma huu, ila muhimu uhai
Ahsante mkuuAisee umenifanya nijisikie vibaya aisee sijui kwanini.... uneongea kwa upole sana! Usife moyo ndoa ipo lakini maisha ni kujifunza
Wala hatufikii hata huko kwenye kutongzana..mapema tuu kila mtu ashanufaika na alichokitaka ...no strings attachedHiyo inajulikana, kwa sababu ukiwatongoza hawasumbui....
huyo ni mimiNi kama hiyo dp yako , kwani ni nani huyo?
Sio mafanikio ni takwa la asali, sababu kubwa ya wazungu kusumbuliwa na depression, suicide, drug addiction ni kwenda kinyume na matakwa ya asili, mafanikio yana sehemu yake katika moyo, na mahusiano piaTatizo kiafrika kuoa/olewa kunahesabika kama "mafanikio" katika maisha. Hata uwe na hela vipi, kama hujaoa/olewa bado watu watakuangalia kama mtu ulie feli maisha..! Unaonekana mhuni tu..
Wa ivo ni tayari single maza wa watoto kadhaa baba tofauti na washafikia menopause.We danganya wenzako tu!!
Yani huyu hata usipompenda yeye, ukamuhudumia mwanae, kwa kulipia maintaneshno skuli,basi umemaliza.Miaka 30 mbali akishazaa tu halafu baba wa mtoto magumashi utamuonea huruma..wewe tafuta mwanamke yeyote aliyezaa kwa sasa na aliyetelekezwa na mtoto ambaye alikukataa/kupiga chini enzi hizo kwa sababu za kijinga kama kipato n.k mwambie nataka kuishi na wewe majibu utayapata..Hii pisi ilikuwa inaringa hatari ni design ya Wema Sepetu enzi hizo siku hizi anataman miracles ihappen!😂
View attachment 2203793
Mambo mengine ni kumuachia Mungu hayo mambo huyu ni sahii huyu siyo ni magumu yanahitaj Neema ya MunguNi kweli ndoa ni nzuri lakini ni muhimu uingie kwenye ndoa na mtu sahihi. Usioe kwasababu umri umekwenda is kwasababu uliyekutana nae ni mtu sahihi kwako.
Psychological set up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
NDIYOPsychological set up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
2Nakazia.
Institution ya ndoa ndio imefeli, ni kilio na kusaga meno ndani ya ndoa nyingi. Talaka kila kukicha. Ma lone rangers both male/female wanadunda and feeling good, real good.Tatizo kiafrika kuoa/olewa kunahesabika kama "mafanikio" katika maisha. Hata uwe na hela vipi, kama hujaoa/olewa bado watu watakuangalia kama mtu ulie feli maisha..! Unaonekana mhuni tu..