Nina mpenz wang huwa anajifanya ana ana akili sana....yeye ana faham kushona Nguo......hivi juzi ameomba nimnunilie cheleani ya kushonea pia nimpetie pesa kwaajili ya kufungua ofisi yake....hayo yote nimeaidi kumfanyia mwisho wa mwez huu....
Kinacho nishangaza . ..juzi nilipo kutana nae. Akaomba tupige picha za pamoja kupitia sm yangu kisha nimtumie (yeye sim yake haina camera nzur) kweli tulipiga picha na nikamtumia .. .... .
Chaajabu ninacho kiona zile picha anapost mtandaoni ila amekata vipande ambavyo mimi nipo.... Pia kaviweka ukungu vipande ambavyo mimi nimetokea sana ili tuu nisionekana
Jamani hapo munamtafsir vp huyu Mwanamke mimi nimeshaanza kumuona mchawi tuu..
Post sent using JamiiForums mobile app
Mungu anamuonaHuwa natokea vzr sana
Post sent using JamiiForums mobile app
Nina mpenz wang huwa anajifanya ana ana akili sana....yeye ana faham kushona Nguo......hivi juzi ameomba nimnunilie cheleani ya kushonea pia nimpetie pesa kwaajili ya kufungua ofisi yake....hayo yote nimeaidi kumfanyia mwisho wa mwez huu....
Kinacho nishangaza . ..juzi nilipo kutana nae. Akaomba tupige picha za pamoja kupitia sm yangu kisha nimtumie (yeye sim yake haina camera nzur) kweli tulipiga picha na nikamtumia .. .... .
Chaajabu ninacho kiona zile picha anapost mtandaoni ila amekata vipande ambavyo mimi nipo.... Pia kaviweka ukungu vipande ambavyo mimi nimetokea sana ili tuu nisionekana
Jamani hapo munamtafsir vp huyu Mwanamke mimi nimeshaanza kumuona mchawi tuu..
Post sent using JamiiForums mobile app
Bibooo yaliyomo yamo?Heeeeeeeeeh yebaaaaa