kuna wanaume majuha kweli,sasa wewe kinachokufanya ufurahie kuoga maji ya viungo ni nini???umekuwa mchele????
Japo natokea tanga mapenzi yalipozaliwa-FA
te te te, tiiiiiii wewe wakupima, pia haujatulia,na wakati wa mambo yetu yalee... Usipomnanihii basi ana ku..cameroon na kidole chake
Haya mambo hayana ukweli wowote,
Uzoefu wangu wa kuishi Tanga enzi zile na safari zangu za mara kwa mara zimenifanya niamini kuwa si kweli.....
Anayebisha ana lake!
Pale unaposikia mapenzi ya wanawake wa kitanga (sio hawa waliochakachuliwa na maisha ya kimjinimjini) wale orijino yanachanganya wanaume ukadhani labda watu wanatania, ni kweli.
Mwanamke akihongwa hela atahakikisha anakupatia huduma-wewe mwanaue uiyemhonga-inayoendana na thamani halisi ya hongo uliyompatia. Atakupatia mahitaji yako na 'kukuhudumia' kwa kiwango kinachoendana na gharama halisi ulizotoa-utakula chakula kizuri na kitamu, ikibidi atakununulia zawadi za kawaida lakini zenye kuukonga moyo wako. Kama huyo ni nyumba ndogo yako basi kuna uwezekano mwanaume ukahamishia makazi kwake, au kama ni mpenzi, jiandae kuoa tena kwa wewe mwanaume kushinikiza ndoa kwa haraka. Kifupi ni kama anaikurudishia hela yoooooooooooote uliyomhonga kwa njia ya huduma bomba na zenye viwango.
Wako tofauti sana na wanawake wa mikoa mingine ya TZ ambao leo ukimwambia atumie gari lako kurudi kwao, kesho ataomba umnunulie Spacio.
Tanga kuna raha bwana!
Kuna wamama wawili nawafahamu wanatokea Tanga; waume zao chupi mkononi; mmoja mumewe alihama nyumba kabisa. Sasa na hapo mtasemaje. Walishindwaje kuwashika hao waume zao na mapenzi ya kitanga???
Kuna mtoto wa shangazi yangu amemtaliki wife wake wa Kitanga baada ya kumuweka mkononi for so many years; sasa naona dawa zimeisha nguvu.
Mnafanywa ndondocha mnajidanganya, mapenzi, mdalasini. Wajanja walishashtuka. Nyie bado mnashobokea kuogeshewa uchafu.
Tuondoleeni upuuzi. Mapenzi ni compatibility haina cha kuogea karafuu wala mdalasini.
Mi ndo maana nimejikita maeneo ya Chuda raha nazo pata we acha tu.
Nikifika tu ananibeba toka mlangoni mpaka chumbani kisha ananivua nguo na kuniandalia maji ya kuoga yaliyowekwa viungo. Tanga jamani raha asikwambie mtu unaweza hamia kabisa.
nyie danganyaneni tu.hakuna cha bure.
Jiulize - kwanini mwanamke akubebe, kwanini maji ayaweke viungo...je hivyo viungo ndani yake mna nini?
Shauri zenu!
Umeona ehhhhh??
Mapenzi ni mnavyoendana.Penzi changa/la kuiba siku zote tamu.Kinachowazuzua ni hivyo vitu viwili hakuna cha zaidi.Leo ni wanawake wa Tanga, kesho ukipata mmanyema utachanganyikiwa, ukimpata mzanzibari utazuzuka, ukimpata mhaya ndio usiseme.....mtazunguka mabucha yote lakini nyama ni ile ile - imechemshwa, ikaokwa, ikakaangwa, ikabanikwa, ikakaushwa juani, ikatiwa moshi, mara imewekwa kitunguu thaum........haya weeee!! Inategemea hujaila kwa mtindo huo kwa muda gani.Rule of the thumb "ZAFANANA".
Umeona ehhhhh??
Mapenzi ni mnavyoendana.Penzi changa/la kuiba siku zote tamu.Kinachowazuzua ni hivyo vitu viwili hakuna cha zaidi.Leo ni wanawake wa Tanga, kesho ukipata mmanyema utachanganyikiwa, ukimpata mzanzibari utazuzuka, ukimpata mhaya ndio usiseme.....mtazunguka mabucha yote lakini nyama ni ile ile - imechemshwa, ikaokwa, ikakaangwa, ikabanikwa, ikakaushwa juani, ikatiwa moshi, mara imewekwa kitunguu thaum........haya weeee!! Inategemea hujaila kwa mtindo huo kwa muda gani.Rule of the thumb "ZAFANANA".